Mkwawa High School mpo?

Mkwawa High School mpo?

Jamani mimi namtafuta mwalimu Busanji kuna mtu anayejua yuko shule gani au contact zake? Alikuwa mwalimu wangu wa miaka ya nyuma na hesabu yake aliyonifundisha hadi leo bado inapanda na ninawafundisha wanangu.
Kuna taarifa imetolewa kuwa amefariki hapo juu...!!
 
Mazee nilirudi tena 2011-2014 pamerekebishwa sana asee
 
sasa hivi tunapaita UDSM-MUCE wakuu,, ila wali wa makanyagio bado ni full hamira,,, ila miundombinu ipo level zingine,, full lami hamna vumbi labda barabara iendayo dispensary tu
 
Sikusoma mkwawa high school ila nakumbuka nilikuwa napenda sana kupita pale nikiwa Mdogo navyoelekea shule ya msingi ilala iliyoupande wa juu na lengo langu kubwa ulikuwa nikuwachungulia wale wadada walikuwa wanaoga njee asubuhi basii nilikuwa najiskia raha mwenyewe
 
Wasalam,

Wakati tukimalizia Mwaka 2017, Naomba wale ambao tulisoma Mkwawa high School tusalimiane humu na kama inawezekana tuambiane kwa sasa tupo Mkoa Gani?

Mimi nipo Dodoma.

Karibuni Mliopitia Mkwawa High school -aka Casino Complex.
 
Wasalam,

Wakati tukimalizia Mwaka 2017, Naomba wale ambao tulisoma Mkwawa high School tusalimiane humu na kama inawezekana tuambiane kwa sasa tupo Mkoa Gani?

Mimi nipo Dodoma.

Karibuni Mliopitia Mkwawa High school -aka Casino Complex.
Umenikumbusha mbali sana aisee!!!! Napamiss sana Mkwawa Complex School. Napamiss sana Makanyagio. Nalimiss sana bweni langu la Lumumba East ambapo pia nilikuwa kiranja wa bweni chini ya Mwalimu Mgimwa ambaye alikuwa Mwalimu mlezi wa bweni.

Nazimiss sana vurugu za maisha ya Mkwawa. Yaani kila mtu alikuwa na namna yake ya kwenda "preps" za jioni/usiku. Wakati wewe umelala bwenini ndio muda ambao mwenzako yumo darasani akipiga msuli wa kitabu na wakati ambao wewe unapanda juu huko academic zone ukajisomee utakuta unapishana na wengine wakienda kulala. Mkwawa ilikuwa raha sana na full kujiachia.

Nakumbuka sana baadhi ya wasichana kwenye combination yangu ya HKL walinisumbua sana kutaka ukaribu wa masuala ya kitaaluma lakini pia kuhusu mambo mengine yaliyokuwa yanaifanya shule kuwa complex zaidi yaani socialization. Hii yote ilikuwa kwa sababu ya uwezo wangu kitaaluma japo kifedha nilikuwa tu kapuku.

Mkwawa hakika ilikuwa sehemu nzuri kwangu ksomea kwani kulikuwa na everything in terms of reading materials.

Mimi nipo Mwanza

Mkwawa jamaniiiiii!!!!!!!
 
Mmekumbuka maandazi ya makanyagio au ulanzi na mapera ya Mtwivila?Mmwambia Ridhiwani Kikwete anaitwa akadeki cube yake Shabani East. Masatu anamwita
 
Mmmh na yule mnoko mgimwa matron lumumba east....sie wa PGM tuliokuwa tunalala mchana ili usiku kwenda msuli jiwe alikuwa nuksi kweli
Makyagio kwa bibi kwenye bill ya msosi..long time
 
Toeni ushuzi wenu, msituchoshe utazanishia nyie wenyewe ndio mmesoma
@mods futeni manyuzi kama haya au mpeleke jukwaa la elimu au hitchat
 
Lumumba West ( pamba production) LWP2 Kwa Tozi M (Mwaituke) Wazee wa usafi kwa Afya zetu siyo kwa mashindano. Hahaha mabingwa wa kukaa Love square.

That life bwana hadi biashara za Kobe kwa Wadenish. Na mambo ya bottoms up!!!

Such a wonderful moment.
 
Back
Top Bottom