Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Kuna taarifa imetolewa kuwa amefariki hapo juu...!!Jamani mimi namtafuta mwalimu Busanji kuna mtu anayejua yuko shule gani au contact zake? Alikuwa mwalimu wangu wa miaka ya nyuma na hesabu yake aliyonifundisha hadi leo bado inapanda na ninawafundisha wanangu.