Iko hvi! Kama ulitoka akaingia mtu mwingne kutoa hela yako itakuwa kwenye account lakn kama ulitoka haraka kabla hata mtu yeyote hajatoa hela kwenye atm husika basi pengne ilitoka badae hali hyo huwa ipo sana
Ni simu toka vetnamu aina ya samsung galaxy j7 ni mpya ina 16gb kamera ya nyuma 13 ya mbel 5 bei yake 380000.
Risti ipo na box lake lenye ime namba yake imenunuliwa mobile plaza tar.16 june 2016. Niko dar es salam-sinza.
Mawasiliano
0626658983.
Nenda police katoe malalamiko yako pia mamlaka husika itafikishiwa na kulishughulikia pengne na kweli lakn cc hatujui kwan ulipotaka kujiunga hukutuambia ila tuu umeona tofauti ndo ukatuambia so hatuwez sema chochote na vodacom nawapenda sana tu hawana shida hata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.