Tablet gani itanifaa?

Tablet gani itanifaa?

f6e085f8bf954bea69e318588c447f5b.jpg


Anatuyeyusha huyu sijui anadhani humu ni MMU
Binadamu wabaya sana.
 
Hahahahaha duuu kweli watu mna evidece za kutosha
 
Ungetaka hayo maisha ungeenda kusomea uandishi wa news. Sasa human anatomy na tablet wap na wapi? Afu magumash mengi mara umesoma mara dent loh
 
sijaona kipya kwenye tablet....kama hizo fedha huna pa kupeleka nisaidie mimi ndugu yangu nnashida hadi naisi kuzirai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom