Mkuu huwezi kupata ufuta kipindi hiki cha Mwaka, ndio upo shambani watu wanafanya palizi saa hizi subiri mwezi wa sita mpaka wa saba ndio mavuno yanaanza.
By the way unanunua sh ngapi kilo?
Huu ndio muda wa kununua gunia kwa bei rahisi Kama hiyo unayosema sababu wengi ya wakulima wana njaa saa hizi baada ya kutumia hela nyingi kwenye palizi, kuhamisha na kupiga dawa ya panzi (msimu huu maeneo ya morogoro vijijini panzi wamekula sana mpunga).
Haya maelezo ni kwa uzoefu wangu...
Watanzania bwana ni watu wa ajabu sana, tatizo ni nini Kama Chahali na Balali wa twitter wakiwa ni mtu mmoja? Inatuongezea nini Au kutupunguzia nini Kama nchi?
Wengine mnasema mzushi sijui hafai, Kwani unahitaji akili kubwa kujua kuwa kuna ishu ndani ya TISS kwa hili la Deputy DG kuwa demoted...
Nijibu maswali haya kwanza
1. Unataka kulima nini?
2. Una mtu wa kuaminika ambaye atakuwa shamba full time Au nyie ndio mtakuwa mnakaa shamba?
3. Soko la zao lako umesha lijua? Unajua misimu ya hilo zao sokoni?
4. Mzee amekupa sababu zipi za kutokuunga mkono hili wazo lako?
Uhuni wa EFTA upo kwenye riba, yani unatoa 10%-20% ya mkopo halafu wao wanatoa 80%-90% lakini riba inakuwa calculate kwa kutumia 100% ya mkopo badala ya kutumia Hiyo 80%-90% waliyotoa wao.
Umesha wahi kulima Au ndio Mara ya kwanza? Benki hazitoi mkopo kwa mtu anayeanza, wanatoa kwa mzoefu na inabidi upeleke bank statement yako kuonyesha mapato yako. Hawatoi mkopo kwa ambaye sio mzoefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.