Msaada: Nauza popcorn na zinanilipa ila nataka kuongeza biashara nyingine

Appetizer

Member
Apr 8, 2013
93
29
Mimi ni mjasiliamali huwa nauza pop corn shuleni.Inanilipa vizuri.Nataka kubuni biashara nyingine zaidi na wateja wangu wakubwa ni wanafunzi.Unadhani ni biashara gani nikifanya itanipa pesa ukiondoa vyenye vimiminika maana vinakatazwa mashuleni kwavile ni rahisi kwa mlipuko wa magonjwa.Tupeane mawazo chanya maisha ni magumu mno.Nipo serious naomba mchangiaji uwe serious.Asanteni.
 
Mimi ni mjasiliamali huwa nauza pop corn shuleni.Inanilipa vizuri.Nataka kubuni biashara nyingine zaidi na wateja wangu wakubwa ni wanafunzi.Unadhani ni biashara gani nikifanya itanipa pesa ukiondoa vyenye vimiminika maana vinakatazwa mashuleni kwavile ni rahisi kwa mlipuko wa magonjwa.Tupeane mawazo chanya maisha ni magumu mno.Nipo serious naomba mchangiaji uwe serious.Asanteni.
Clips,ubuyu,mihogo nk
 
Ati kuna msukuma mmoja hapa pembeni ananiambia si bora ungeboreshea hizo bisi kwa kuziongezea machejo...ati kuwa bisi za mayai au za chocolate wateja wangeongezeka madurufu..
 
Back
Top Bottom