Mimi ni mjasiliamali huwa nauza pop corn shuleni.Inanilipa vizuri.Nataka kubuni biashara nyingine zaidi na wateja wangu wakubwa ni wanafunzi.Unadhani ni biashara gani nikifanya itanipa pesa ukiondoa vyenye vimiminika maana vinakatazwa mashuleni kwavile ni rahisi kwa mlipuko wa magonjwa.Tupeane mawazo chanya maisha ni magumu mno.Nipo serious naomba mchangiaji uwe serious.Asanteni.