DENLSON
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 944
- 1,253
Habari yako;
Naomba msaada kwa mwenye ufahamu na jambo hili nina shamba langu heka 50 lina document zote naitaji mkopo wa kilimo Je ni benki gani ina weza nipa mkopo haraka, riba nafuu na kikomo cha ukopaji kwa ukubwa huo ni kiasi gani?
Natanguliza shukrani
Naomba msaada kwa mwenye ufahamu na jambo hili nina shamba langu heka 50 lina document zote naitaji mkopo wa kilimo Je ni benki gani ina weza nipa mkopo haraka, riba nafuu na kikomo cha ukopaji kwa ukubwa huo ni kiasi gani?
Natanguliza shukrani