Wewe uliyekuwa unaiponda STEAL nikikutana na wewe nitakucharaza bakora. Episode 1 TU imetosha kunikalisha kwenye sofa bila kupepesa macho.
Kama ulifuatilia hijack na ukajisikia Hali Fulani wenyewe wanasema Suspense ndio imejaa kwenye episode 1. Hawa prime wanajua Sana. Ngoja niangalie episode 2...
1. Mampina tuyaache nje(sauti ya kizanzibari
2. Ma gwajima tuyaache nje yasije kugwajimanize chama(Kwa sauti ya kizanzibari)
Leo yamekuwa na umuhimu Tena?
Huwa nashngaa watu wanaisifia homeland episodes zinazokariba kumaliza season ni tukio Moja TU la mtu kujifungia nani Huku wengine wakimcheki kupiti hidden cams. SI ujuha huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.