Cassie amalizana na Diddy siku moja baada ya kumshtaki kwa Ubakaji

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,252
113,645
Baada ya siku moja tu Diddy kaamua wamalizane nje ya mahakama.

Msanii wa Muziki wa rap Sean "Diddy" Combs na Msanii wa R&B Casandra "Cassie" Ventura wamemalizana Kisheria siku moja baada ya Cassie kumshtaki Diddy kwa ubakaji na unyanyasaji wa Kingono

Katika taarifa ya pamoja Wawili hao walisema walifikia makubaliano ya kusuluhisha suala hilo kwa amani siku ya Ijumaa, Novemba 17, 2023, bila kufichua maelezo zaidi

Katika kesi iliyofunguliwa Novemba 16, 2023, Cassie alidai Diddy alimpiga, kumbaka, kumuingiza katika Matumizi ya Vileo na Dawa Za Kulevya na kumhusisha na biashara ya ngono kwa zaidi ya Miaka 10 walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi


=====

In a statement, a lawyer for Combs had said he "vehemently denies these offensive and outrageous allegations".

The settlement was announced in a release sent by lawyer Douglas Wigdor, who represents Cassie.

The release said they had reached a deal to their "mutual satisfaction" on Friday evening, but no terms of the agreement were disclosed.

Source: Sky News

Pia, soma=> Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia
 
My take:

That was quick, fast, and in a hurry 😀.

Very damning for Diddy.

Cassie must have had the goods on him. Must have had the receipts.

She got Diddy cornered and he had no choice but settle because he didn’t want any more dirt out. Hahahahaa.

Ain’t noway any man who’s innocent of such charges would want to settle out of court.

Especially a man of means like Diddy.

Cassie is getting the bag.

Plus, don’t forget….Keefe D is still out there in a Vegas jail charged in the murder of Tupac.

Will he snitch on Diddy?

Either way, Diddy/ Brother Love or whatever he calls himself, is done.

I wonder what Yung Miami is thinking right now 😆

Diddy….this is a very bad look. Not saying he’s innocent or guilty, but damn, if you’re innocent, why give away free money that quick?

This has got to be one of the quickest settlements ever 😀.

It was settled in record time.
 
Baada ya siku moja tu Diddy kaamua wamalizane nje ya mahakama.

Msanii wa Muziki wa rap Sean "Diddy" Combs na Msanii wa R&B Casandra "Cassie" Ventura wamemalizana Kisheria siku moja baada ya Cassie kumshtaki Diddy kwa ubakaji na unyanyasaji wa Kingono

Katika taarifa ya pamoja Wawili hao walisema walifikia makubaliano ya kusuluhisha suala hilo kwa amani siku ya Ijumaa, Novemba 17, 2023, bila kufichua maelezo zaidi

Katika kesi iliyofunguliwa Novemba 16, 2023, Cassie alidai Diddy alimpiga, kumbaka, kumuingiza katika Matumizi ya Vileo na Dawa Za Kulevya na kumhusisha na biashara ya ngono kwa zaidi ya Miaka 10 walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi


=====

In a statement, a lawyer for Combs had said he "vehemently denies these offensive and outrageous allegations".

The settlement was announced in a release sent by lawyer Douglas Wigdor, who represents Cassie.

The release said they had reached a deal to their "mutual satisfaction" on Friday evening, but no terms of the agreement were disclosed.

Source: Sky News

Pia, soma=> Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia
Usikute wamepasha kiporo tena. Jamani!
 
Maybe he's innocent of most of the charges, ila these cases huwa ni complicated, kitu kingine ni kama Cassie kweli alifanyiwa yote hayo, why stay with him for fckn 10 years 😅
na sidhani pia angekubali case iishe kizembe hivyo! Anyway cassie diddy finished case.
 
Maybe he's innocent of most of the charges, ila these cases huwa ni complicated, kitu kingine ni kama Cassie kweli alifanyiwa yote hayo, why stay with him for fckn 10 years 😅
na sidhani pia angekubali case iishe kizembe hivyo! Anyway cassie diddy finished case.
Kukubali ku settle haimaanishi moja kwa moja kwamba Diddy ana hatia.

Kwa Marekani, out of court settlements huwa zina mambo mengi sana na wakati mwingine watu huamua ku settle tu ili yaishe haraka kuliko kuendelea na kesi ambako yanaweza na kuibuka na mengi yaliyo ya aibu.
 
My take:

That was quick, fast, and in a hurry 😀.

Very damning for Diddy.

Cassie must have had the goods on him. Must have had the receipts.

She got Diddy cornered and he had no choice but settle because he didn’t want any more dirt out. Hahahahaa.

Ain’t noway any man who’s innocent of such charges would want to settle out of court.

Especially a man of means like Diddy.

Cassie is getting the bag.

Plus, don’t forget….Keefe D is still out there in a Vegas jail charged in the murder of Tupac.

Will he snitch on Diddy?

Either way, Diddy/ Brother Love or whatever he calls himself, is done.

I wonder what Yung Miami is thinking right now 😆

Diddy….this is a very bad look. Not saying he’s innocent or guilty, but damn, if you’re innocent, why give away free money that quick?

This has got to be one of the quickest settlements ever 😀.

It was settled in record time.
Huyu mzee bado ile lawsuit yake ya Ciroc/Diageo ipo pending. Cha ajabu, instantaneous and standard response ya Diddy kwa kila lawsuit lazima iseme "will vigororously defend against all blah blah blah." I think he must have truly loved this bit.ch, that's part of the reason he decded to settle. What's more, NYPD wenyewe wanamuogopa. He calls the shots. Au unasemaje Negro Nyani?
 
Kukubali ku settle haimaanishi moja kwa moja kwamba Diddy ana hatia.

Kwa Marekani, out of court settlements huwa zina mambo mengi sana na wakati mwingine watu huamua ku settle tu ili yaishe haraka kuliko kuendelea na kesi ambako yanaweza na kuibuka na mengi yaliyo ya aibu.
That's my point, huenda most of the charges siyo true, na diddy kafanya haya huenda kuzuia uwezekano wa kuharibu image yake maana yawezekana kati ya hayo kuna machache kweli alitenda na who knows? kuna mengi nyuma ya pazia
 
Baada ya siku moja tu Diddy kaamua wamalizane nje ya mahakama.

Msanii wa Muziki wa rap Sean "Diddy" Combs na Msanii wa R&B Casandra "Cassie" Ventura wamemalizana Kisheria siku moja baada ya Cassie kumshtaki Diddy kwa ubakaji na unyanyasaji wa Kingono

Katika taarifa ya pamoja Wawili hao walisema walifikia makubaliano ya kusuluhisha suala hilo kwa amani siku ya Ijumaa, Novemba 17, 2023, bila kufichua maelezo zaidi

Katika kesi iliyofunguliwa Novemba 16, 2023, Cassie alidai Diddy alimpiga, kumbaka, kumuingiza katika Matumizi ya Vileo na Dawa Za Kulevya na kumhusisha na biashara ya ngono kwa zaidi ya Miaka 10 walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi


=====

In a statement, a lawyer for Combs had said he "vehemently denies these offensive and outrageous allegations".

The settlement was announced in a release sent by lawyer Douglas Wigdor, who represents Cassie.

The release said they had reached a deal to their "mutual satisfaction" on Friday evening, but no terms of the agreement were disclosed.

Source: Sky News

Pia, soma=> Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia
Kalikuwa kana njaa tu maana ndoa hakakuipata na career yake ya muziki kwisha.
 
Diddy anadai kulikuwa na "$30 million shakedown" kabla ya hii lawsuit, akakataa. Kwahiyo Cassie atakuwa kalipwa 8 figures kwenye settlement lakini way below $30 mil figure.
 
Diddy anadai kulikuwa na "$30 million shakedown" kabla ya hii lawsuit, akakataa. Kwahiyo Cassie atakuwa kalipwa 8 figures kwenye settlement lakini way below $30 mil figure.
Even a windfall of $10,000,000.00 is not too shabby.
 
That's my point, huenda most of the charges siyo true, na diddy kafanya haya huenda kuzuia uwezekano wa kuharibu image yake maana yawezekana kati ya hayo kuna machache kweli alitenda na who knows? kuna mengi nyuma ya pazia
Na kwenye legal settlements kama hizi huwa kuna NDAs.

Hutosikia kingine chochote toka kwa Diddy wala Cassie.

Ndo imetoka hiyo.
 
Even a windfall of $10,000,000.00 is not too shabby.
You bet it ain't. Bitch is now a miserable, tired, puffed up, mom of 2. Would she have gone to such extents had she been subjected to ALL the allegations while together with a Puerto Rican truck driver?
 
Back
Top Bottom