johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,986
- 142,002
Kuna hizi tetesi kwamba Balozi Polepole na Mkulima Salum Happi wanaitwa kuimarisha safu ya juu ya Uongozi wa CCM wakiwa pamoja na Makamu Mwenyekiti mtarajiwa Dr. Nchimbi.
Je, CCM itaimarika kama enzi za Shujaa Magufuli?
Nawatakia Sabato njema.
Je, CCM itaimarika kama enzi za Shujaa Magufuli?
Nawatakia Sabato njema.