Recent content by 3 kids

  1. 3

    Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

    Usiwadanganye watu kuwa mwanamke akifanya kila siku naniii inalegea,mtu umeolewa mwanaume wako kilafi utafanyaje kama sio kumpa kila siku,na pia ukiwa msafi na kuisafisha vizuri huwa inakaa poa tu,hivyo naomba uelewe ni utunzaji wako tu wa hiyo nanii bwana.
  2. 3

    Simba Taifa Kubwa!

    Mbu usinikumbushe shemeji yangu Eddo Chumilia,imebaki ni hadithi tu!
  3. 3

    Nini kifanyike ili demu awe furahani ?

    Jamani Belinda umenikuna sana na maelezo yako ni kweli kabisa hakuna mwanamke asiependa kufanyiwa hayo mie mwenyewe mmoja wao Aluuuuuu hapo sawa kabisaaa!!!!!!!!!!
  4. 3

    Kuachika kisha ukaolewa na mwingine dhambi?!

    Ni kweli ni taratibu za kanisa ambazo zimepitwa na wakati,biblia inasema anaekutwa na uzinzi wa kwanza ana dhambi na yule wa pili yuko huru,ila kanisa liliweka mambo ya kutengana likitegemea labda ndoa inaweza kusuluhishwa,na katika ndoa tusidanganyane jamani,ugomvi mkubwa ni tendo la...
  5. 3

    Nani sio fisadi?

    Jamani hata kwenye mapenzi mafisadi wapo au nadanganya wakuu?
  6. 3

    Miezi 3 done! - Miaka Minne baadaye tunaremburiana!

    [COLOR="Red"]Ahsnte sana Caroline Danzi........hakuna atakaeshtaki nchi nzima mie mwenyewe nitakuwa mstari wa mbele kutokupiga KURA!!!!!!!!!!!!!![/COLOR
  7. 3

    Kisa cha Rais Ali Hassan Mwinyi kipigwa kibao akihutubia

    kelly01 kiswahili lugha yako au umeazima,ni alikoswa koswa,sio alikosa kosa kwani yeye ndie alirusha au alirushiwa?
  8. 3

    Home sweet home

    Mbu unanifanya nifikirie sana home.....lakini ndio hivyo tena acha tule vyakula visivyoisha shombo huku ughaibuni.....!!!!!???
  9. 3

    Home sweet home

    .........kwa Barafaa ilala na Amerikani chips kinondoni......mmhhhh ni kweli Home sweet home hoooohw nilitaka kusahau Delax kwa Baba Geogre,kongo Chipolopolo ni raha tu..........!
  10. 3

    Home sweet home

    .........kwa Barafaa ilala na Amerikani chips kinondoni......mmhhhh ni kweli Home sweet home
  11. 3

    Waziri wa JK afumwa akifanya ngono garini

    asante sana nzala kwa kuwakumbusha watu kuwa hii si sehemu ya udaku big up.
  12. 3

    Uso wake Michael Jackson umeshaoza kabisaa!

    Nadhani mwanamalundi hukumuelewa hapo,nafikiri alimaanisha kukongoroka au kuvutana kwa huo uso kwa maoparation kila wakati,nampa pole sana sbb hata miwani havui wa aibu anayoipata,nadhani atakuwa anajiangalia kwenye kioo na kujiona anavyotisha.
  13. 3

    Maziwa, matiti au nyonyo?

    Ndio namna ya lugha hiyo.......Balantanda!
  14. 3

    Athumani Idd'Chuji' na Haruna Moshi'Boban' kujitoa stars

    sema bwana hata alie shimoni asikie!!!.
  15. 3

    Mume kutembea na "zana"

    Mbu usitake kunivunja mbavu kwa kunichekesha,sasa hapo anaefanya majaribio nani?ni huyo mume au??jamani......mmmhhh makubwa!? hapo ilitakiwa mke awe mpole mpaka kwenye sita kwa sita,alafu atake mchezo mume akileta kigugumizi ndio angemuuliza kwa upole kama alivyosema Mchola lakini kwa mtindo...
Back
Top Bottom