Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,481
Ni nani kwenye safu ya uongozi Tanzania asiye fisadi? Maana karibu kila kukicha kuna tuhuma za mafisadi wapya.
Na vipi kuhusu JF? Mafisadi mpo?
Na vipi kuhusu JF? Mafisadi mpo?
Ni nani kwenye safu ya uongozi Tanzania asiye fisadi? Maana karibu kila kukicha kuna tuhuma za mafisadi wapya.
Na vipi kuhusu JF? Mafisadi mpo?
Nyani, Labda baadhi ya viongozi wa kidini.
Viongozi wasiokuwa Mafisadi....
Mizengo Pinda, Sitta, Mama Kilango, Mwakyembe...na
Kikwete ambaye alikuwa lakini sio tena na hajui atatoka vipi!..
JF Mtandao ni mafisadi wa JF.........CCM Mtandao ni mafisadi wa Tanzania yetu........
Hii imekaje? ufafanuzi tafadhali...JF Mtandao ni mafisadi wa JF.........