Bonnie1974
JF-Expert Member
- Mar 19, 2008
- 407
- 16
Nidhamu ni kila kitu katika maisha.
Bila nidhamu, huna taifa, bila nidhamu huna familia,bila nidhamu hakuna maendeleo ya soka.
Yaliyotokea Abdijan ni jawabu la swali,kwanini mpaka sasa hatuna wachezaji wa kulipwa nchi za ulaya.
Tulifikiri kuwa, hii CHAN ingelikuwa break thru kwa Vijana wetu....!!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Bila nidhamu, huna taifa, bila nidhamu huna familia,bila nidhamu hakuna maendeleo ya soka.
Yaliyotokea Abdijan ni jawabu la swali,kwanini mpaka sasa hatuna wachezaji wa kulipwa nchi za ulaya.
Tulifikiri kuwa, hii CHAN ingelikuwa break thru kwa Vijana wetu....!!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA.