I'm not ccm wala ukawa, ila nawaambia kwamba Mnajidanganya na poll zenu, kwasababu wapiga kura wengi ni wale lala hoi ambao hawajui kesho watakula nini, hajui hata hiyo poll ni nini na inapigiwa wapi, so why waste a time , tusubirie tu hiyo october. Unless kama mnafanya hivyo kwa kujifurahisha...