Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ukubwa: Sqm 800 (hatua 20 kwa 40) Kiwanja kipo Mbeya mjini - Iwambi, mtaa wa Mayombo. Umiliki: Mimi ndie mmiliki (hakuna udalali) Kiwanja ni kizuri kipo level, hakina mawe au visiki. Bei: Tzs...
0 Reactions
3 Replies
997 Views
Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master sebule jiko na choo Cha public
1 Reactions
5 Replies
2K Views
[emoji779][emoji779] URGENT SALE[emoji779][emoji779] [emoji298]Kiwanja Kina Hati Kinauzwa [emoji298]Maeneo ya Kigamboni Puna Block L [emoji298]Nauza bei ya Discount 6,000,000 [emoji298]Ukubwa wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahijitaji nipate Rim tano za landlover Puma used. Ila ziwe ktk hali nzuri Bei Maelewano Nipo Dsm. 0673728756
0 Reactions
2 Replies
612 Views
Habari wadau, nahitaji simu janja smartphone bajeti ni hyo juu, nipo Masasi Mtwara
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Tunauza viatu vya jumla na rejareja aina zote, viatu vyetu tunatoa china na uturuki na vitakufukia kwa uaminifu mkubwa Tupo kariakoo mtaa wa Narung'ombe kwa mawasiliano zaidi 0719939493 WhatsApp
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Tukijiandaa kuelekea katika Sikukuu ya Christmas na mwaka mpya wengi tungependa kubadili muonekano wa tunapoishi kwa kuzipamba nyumba zetu. Haya leo nimekuletea hizi. Ni set nzuri sana...
3 Reactions
19 Replies
45K Views
Chaser moja la kizazi sanaaaa Price:million 4.8 Cc:1900 Gear box maini ya mbuzi miksa chapati za kunyumbulika Engine sotojo la mwanamke wa kitanga aliekwenye hatari ya kuachika A.c...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello nauzaa nyumba Underground Mbezii kwa Msugulii Msingwa 0753225046 mali halali karibuni
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni. Gesi Godoro Nk aje nipo DSM Temeke
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Msaada : Mwanza kwa anae fahamu mahali wanapo uza vifaa vya Maabara kwa bei nafuu kama Microscope n.k naomb anielekeze naitaji kwenda kununua.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei za ofa mzigo wa mwisho Nauza Airpod i12 bei 12000 zipo tatu tu pro3 bei ni 20000 zimebaki tatu tu na f9 bei ni 40000 zimebaki 5 hizi ni base ya maana,chaji inakaa karibia wiki nzima kwenda...
1 Reactions
1 Replies
582 Views
Fully Boxed [emoji403] Brand New Full One Year Warranty [emoji3581] [emoji338] 0768689694
2 Reactions
4 Replies
548 Views
0718239997&0742522232 HEKA 15 ZINAUZWA KILA HEKA MILLION 1.5 Location mbele ya Chanika mwisho wilaya ya Kisarawe Minazi michungwa nanasi mihogo ipo? Heka 15 zinauzwa kila heka million 1 na laki...
2 Reactions
7 Replies
769 Views
Habari wakuu mwenye kioo used cha simu aina sumsung s8edge nahitaji anicheki inbox
2 Reactions
18 Replies
1K Views
KWA NINI UTUMIE HYDROPONIC FODDER KATIKA UFUGAJI WENYE TIJA 1. Ni rahisi kuotesha 2. Zinaota kwa muda mfupi 3. Zitakupunguzia gharama za chakula cha kuku 4. Zina wingi wa protein na vitamin...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari! Linatafutwa eneo katika mkoa wa Dar es salaam kwa ajili ya kuweka biashara ya Restaurant. Eneo liwe na population nzuri,watu wa kipato cha kati na juu na linalofikika kwa urahisi...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Haya madirisha ni 5 kwa 5 yapo vizuri kabisa yapo na nyavu zake yaani unachukua na kuweka tu, kila dirisha moja nataka Tsh 40,000/= tu, yapo madirisha manne 4 nipe mbezi msumi 0716-900915
1 Reactions
4 Replies
647 Views
Nyumba Ipo kigamboni geza. Kiwanja LIMEPIMWA na kina documents zote muhimu. kina sqm 542. Umbali kutoka barabara kuu ni mita 700 tu.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Salamu ndugu Wanajamvi,nawasalimu na kuwaomba msiache hii ikakupita popote ulipo Nchini Tanzania kwasababu kuwekeza kwenye Ardhi ni baraka na hakuna siku itapungua Thamani yake ikiwa tu umefanya...
2 Reactions
28 Replies
8K Views
Back
Top Bottom