laurentie Senior Member Feb 24, 2012 100 76 Jun 24, 2022 #1 Nahitaji mahindi yawe yamekauka vizuri bei 920 nipo Arusha malipo cash kuanzia tani 30 Mawasiliano 0712206032
Nahitaji mahindi yawe yamekauka vizuri bei 920 nipo Arusha malipo cash kuanzia tani 30 Mawasiliano 0712206032
B bukenyaimo Member Oct 21, 2021 99 289 Jun 24, 2022 #3 920 nini??Shilingi au Dola??na kwa Kilo,Kisado,Gram au ujazo gani??
C chotera JF-Expert Member May 19, 2016 6,305 15,034 Jun 24, 2022 #4 Mutukula bei imepanda hadi 1100 shilingi kwa kilo moja hadi jana
machafuko jr JF-Expert Member Sep 7, 2017 504 1,003 Jun 24, 2022 #5 N bukenyaimo said: 920 nini??Shilingi au Dola??na kwa Kilo,Kisado,Gram au ujazo gani?? Click to expand... Nadhani kwa kilo
N bukenyaimo said: 920 nini??Shilingi au Dola??na kwa Kilo,Kisado,Gram au ujazo gani?? Click to expand... Nadhani kwa kilo
josephwaara JF-Expert Member Jun 18, 2016 304 637 Jun 24, 2022 #6 Nyie ndo mnaotuletea njaa hapa chuga mmefanya gunia liuzwe laki sbb ya tamaa zenu za kusombea mahindi Kenya.
Nyie ndo mnaotuletea njaa hapa chuga mmefanya gunia liuzwe laki sbb ya tamaa zenu za kusombea mahindi Kenya.