Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

p
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala na sebule, choo kipo kwa nje..ukubwa wa kiwanja 20 kwa 20 mita .umeme upo na maji tumeshalipia na mda c mrefu yatakuwepo Bei 19m Maongezi zaidi au kuja kuona...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Bajaji safi iliyonyooka, haina kipengele chochote inauzwa sh milioni mbili na laki mbili. Namba C haina tatizo lolote, engine ipo fresh kabisa. Ipo Tabata Kinyerezi, njoo na fundi wako uchukue...
1 Reactions
1 Replies
922 Views
Kwa Shuhuri yoyote iwe Harusi, Msiba, Kitchen Party, Send-off, Graduation na Chochote kile kitakachoitaji uwepo wa chakula kupikwa na mpishi. Mpishi lazima azingatie Usafi, Ubora na Ladha Nzuri Ya...
3 Reactions
9 Replies
856 Views
Wakuu nina uhitaji wa kununua taa zile za Chemli ndogo, nimefika Kisutu, Kariakoo na Kwa Iringa nimefika Miyomboni, taa nyingi ninazokutana nazo ni zile kubwa. Mimi nahitaji kupata ile size ndogo,
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Karibu Ujipatie Tshirts Kali Sana Za Mtumba Grade One Kwa 8,000(Fixed) Tu Tupo Kinyerezi kwa siku za Jmoc & J2 Tupo Sokota Kwa Siku Za J3-Ijumaa Tucheki WhatsApp 0657576369 Au Instagram...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
HABARI KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano ; APPLICATION MESSAGE STORAGE CALLS NA NYINGINEZO TAFADHALI NI DM KWA MSAADA, TOZO NI NAFUU SANA KWASABABU SOFTWARE HAIHITAJI UNUNUZI WA VIFAA...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu nisiwachoshe sana, Nahitaji gari IST nzuri.. offa yangu ni 7Milion nitumie picha au nipigie 0787507217
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipo na hali nzuri sana Ilitumika kidogo sana ikawa imekaa ndani Bei 220,000 Location- Kunduchi
1 Reactions
3 Replies
679 Views
Unique AirCargo Tunasafirisha Mizigo aina zote kwa gharama nafuu kutoka China kuja Tanzania Tupo Livingstone na pemba WhatsApp & Calls 0623450742
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta lightbox kwaajili ya kupigia picha za bidhaa. Lightbox ndogo kwa picha za viatu na mikoba. Au kubwa za kupiga magauni ya kike. Kama unafahamu mahali zinapatikana kwa Dar au Mwanza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
KIWANJA KIZURI KWA LODGE/HOTEL/APPARTMENTS ZA KUPANGISHA/HOSTEL/MAKAZI _____________________________ MAHALI-KIKUYU EAST/IMAGE(OPPOSITE NA UZUNGUNI) _____________________________ KIKUYU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Having a website means customers are always able to find your business at anytime, anywhere. Even outside of business hours, your website continues to find and secure new customers. It offers the...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP... Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget...
2 Reactions
50 Replies
7K Views
Nauza TV aina ya LG inch 50 Ina tatzo la kioo tu Bei 250000 Maongezi yapo Location:mbande dsm Contact 0683341992 Contact 2: 0623495490
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza kwa matumizi ya kiofisi Canon Pixma MX410 Sifa zake someni online na kama una maswali wajuzi watayajibu hapa Inauzwa 200,000/- kama unahitaji mawasiliano ni 0714829688. .
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Matarsoft inatoa huduma ya kutengeneza tovuti au website kwa wafanya biashara, kampuni na kwa wajasiria mali. Biashara yako inahitajia website kuonekana professional. Pata huduma yetu kwa...
1 Reactions
3 Replies
901 Views
Habari ndugu zangu Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya msasani au mikocheni! Kama una nyumba au unafahamu sehemu yenye sifa hizo naomba msaada! Ntatoa offer 50k cash kwa atayesaidia hili NB...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Habari ya jioni wakuu. Nawaletea mtambo huu wa ujenzi unauzwa. Make: Caterpillar Excavator Model: 320 CL Masaa: 14600 Location: Morogoro Bei: 120M Haina shida yoyote ipo tayari kwa ajili ya kazi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
bei ni kuanzia laki 9,karibuni sana
0 Reactions
3 Replies
432 Views
Back
Top Bottom