Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Natafuta kuku aina ya Kuchi kwa Mwanza au mikoa ya karibu kama Simiyu au Geita na Shinyanga
Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho Tabora. Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana
Singida,Tabora, Shinyanga, na Dodoma
Sifa ni kuku wakubwa sana!!!.Warefu na wenye nyama nyingi. Jogoo anaweza fika had kilo 3.5kg na tetea kilo 2kg
Kama una vifaranga au kuku wa aina hii andika namba yako tukufikie.
Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho Tabora. Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana
Singida,Tabora, Shinyanga, na Dodoma
Sifa ni kuku wakubwa sana!!!.Warefu na wenye nyama nyingi. Jogoo anaweza fika had kilo 3.5kg na tetea kilo 2kg
Kama una vifaranga au kuku wa aina hii andika namba yako tukufikie.