Nauza nyumba ya vyumba 3, sebule , dinner room, jiko , vyoo 2- masterbedroom.
Eneo linalo zunguka nyumba hii lina ukubwa wa 28m × 14m , bei ni Tzs 7.5 milion.
Hii nyumba ipo VIWEGE KWA MPEMBA ...
Ukiwa wewe ni mtanzania ambae unatamani kuanza ufugaji wa nyuki lakni hujui pakuanzia, huna mtaji wa kutosha ,huna eneo rafiki kwa ajili ya ufugaji n.k , sisi kama watekelezaji wa mradi wa FUNYUKI...
Imarisha afya yako kwa kupunguza kitambi,kutengeneza six pack nk.
Machine hii inakuwezesha kufanya mazoezi zaidi ya 7 Na kusiadia kujenga afya yako
FEATURES
COLOUR:Black,orange white, pink...
Habari wanajf na wafanyabiashara, Motor hii ilikuwa inatumika kwenye Mashine ya Tofali Mixer yenye ukubwa wa 20hp bei ni Tsh 3mil ni Standard ya German.
Naomba msaada kwa mdau yeyote anayejua inavyopatikana au inapochapishwa mifuko ya kuwekea unga,mchele,maharage yenye nembo yangu, nataka vifungashio vyenye nembo yangu kwa kuwekea mchele kuanzia...
Peleka Bidhaa, Huduma Yako KIMATAIFA Zaidi, Kwa Kuuza Kupitia Tovuti Kubwa Na Zenye USALAMA Na Wateja Wa Uhakika Kutoka Kila Pembe Ya DUNIA. Haijalishi Unazalisha Bidhaa Au Kutoa Huduma Gani. Kuna...
BEI 11.8 MIL [emoji336]0715002270
SUZUKI SPLASH (DQX)[emoji91][emoji91]
YEAR 2008
Cc 1240 [emoji736][emoji184]
MILEAGE 129,000km
ENGINE K 12 B
FUEL PETROL [emoji618]️
TRANS,AUTOMATIC
NEW TYRES...
Nyumba Ina vyumba 3 vya kulala vyote master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, Bei ni 25 Milion. karibu...
MBEZI LUGURUNI HOTEL
[emoji3591]INAUZWA BEI POA!!
[emoji3591]TSHS. 950/- MILIONI
(MAPATANO YAPO)
HOTEL IPO JIRANI NA :-
[emoji3591]ST. JOSEPH UNIVERSITY
[emoji3591]OFISI YA MKUU
WA WILAYA...
Nyumba ipo kigamboni vijibwen karibu na ukingo wa Bahari, Ina vyumba 3 vya kulala kimoja master, jiko, store, dining room, sebule kubwa, shimo la choo tayar lishajengwa, maongez yapo. 0652180400
Habari wadau,
Nawakaribisha kwa ajili ya huduma zangu nzuri .
Niko na systems au applications ambazo zinafaa sana kwa wale wenye maduka ,supermarkets ,pharmacy au biashara nyingine yoyote ambayo...
Karibu upate mabegi ya ngozi kwa ajili ya laptop yako na shughuli nyingine za kiofisi kwa bei ya 75,000tsh tu.
Yanatosha kuweka laptop kubwa pamoja na files 3 mpaka 5 na yasipoteze muonekano wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.