Ni kweli mkuu. Kuna mtu nilishamuona alitandikwa shoti na hicho kidude wiki nzima macho yalikua mekundu balaa. Pia vinakula umeme sana mleta mada ajiandae kuweka luku ya maana.Zinapatikana mkuu ila cha msingi zingatia sana wirring tafuta fundi makini,,,, katika pitapita zangu huko twitter nilikuta wadau wanalalamika sana kwamba heater za mtindo huo zina piga shoti mno endapo haitaungwa vyema.
Wewe hujui Kuna watu Wana BP ? Akioga maji baridi Ni hatari anaweza kufaKuoga maji moto ni umama
Kuoga siyo kwaajili ya kila mtuWewe hujui Kuna watu Wana BP ? Akioga maji baridi Ni hatari anaweza kufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] macho mekundu km alikula weeder?Ni kweli mkuu. Kuna mtu nilishamuona alitandikwa shoti na hicho kidude wiki nzima macho yalikua mekundu balaa. Pia vinakula umeme sana mleta mada ajiandae kuweka luku ya maana.
Ni kweli umakini mkubwa unahitajika kwenye kukifunga. Mimi nimewahi kukitumia kwa mda mrefu tu hakikuwahi kunipiga shoti ila hiyo heating element ikifa ndio ntolee.Zipo kariakoo hapo mkuu, kama wadau walivokushauri kuhusu short, nakushauri kwenye connection ya umeme waya wa Earth usisahaulike ili kuondoa uwezekano wa anayeoga kupigwa short!
Kuoga maji ya shower kuna raha yake mkuu.. hasa ukute uko nae.😉Hapana aisee, sikushauri ununue hicho kifaa kama una uhitaji sana wa kuoga na maji moto bc chemsha pembeni tuu. Nadhani sio dhambi kuonekana mshamba kwenye baadhi ya mambo.
Ni kweli umakini mkubwa unahitajika kwenye kukifunga. Mimi nimewahi kukitumia kwa mda mrefu tu hakikuwahi kunipiga shoti ila hiyo heating element ikifa ndio ntolee.
Aisee kupata spare yake ni mtihani mimi nilitafuta nikakosa ikawa ndio basi tena. Nadhani kilidumu miaka mi2 au mi3 hivi.Hakitengenezeki...?
Kinachukua muda gani mpaka kufa, natumia mwaka wa 3 unaenda sasa.