Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo katika hali nzuri,mmiliki alikua akitumia kutembezea mikate ,kwa sasa ipo Mbeya .Kwa maelezo zaidi wasiliana na no.0768496151 karibuni
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Haina shida yoyote kabisa. cc 150 gia 5. Mtaa wa Kilimo A, Igoma. Milioni 1, price fixed 0713096076
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Bei ni 130m Model: Land cruiser Prado Make: TRJ 150 Year: 2010 upgrded 2020 Engine: 2TR vvti cc 2,690 Fuel: Petrol Klmt: 49,678 Seat capacity: 7seat Keyless push start engine Reg: no Registration...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa, habari zenu? Natafuta baiskeli nzuri kwa ajili. ya matumizi yangu ya kawaida. Je, nani anauza na kwa bei gani? Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji239]DUMILA_CHIKEN_FARMING_GROUP[emoji239] ____________________________________________ [emoji340][emoji3513] 0744181425 WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA KUKU WA NYAMA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086 Models PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wateja wengi wanaokopa benki hawana uelewa kuhusu haki zao katika mkopo hasa ikitokea kwa sababu mbalimbali wameshindwa kurejesha mkopo kwa wakati au kushindwa kabisa na hivyo kufikia mali zao...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
Habari wakuu, Natafuta mdau anayedeal na utalii hasa Arusha na Kilimanjaro nijue taratibu mbali mbali. Piga 0713 039 875
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Habari nauzwa lamination mpya kwa sh 50,000 na pia monitor del inch 18 Tsh 50,000 hii ni used ipo poa. Kinyerezi. Dar Piga/sms 0738373706
0 Reactions
3 Replies
730 Views
Uuzaji na usambazaji wa vifaa mbalimbali vya kufugia kuku. [emoji239][emoji212][emoji214]. [emoji338] 0759190519. Whtsap. 0677002867. Email: ufugajisupplier@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF. Nauza baiskeli za jumla na rejereja kutoka Japan. Kuna za 85,000 95,000/ Na za gia ni 110,000 Napatikana Temeke. Mzigo pia natuma hadi mikoani tena kwa uhakika zaidi...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Nauza Kabati la kioo futi 3.5 Liko katika hali nzuri Mahali Goba 0654757823
1 Reactions
3 Replies
1K Views
processor Intel(R) Core i5 CPU 2.50GHz RAM 8.00GB system type 64~bit operating system Edition windows 10 pro Kipengele sensor imekufa inabidi utumue mouse, pia battery halikai na chaji zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
2.5 B Mzungu kalewa Contacts . Mr.ibuog@gmail.com Wajuba yenu 500M
4 Reactions
49 Replies
4K Views
T.v ni ya nchi 24, na redio kubwa na spika zake pamoja na deki bei ninelf 70 tu. Unapeleka kwa fundi inasafishwa tu unstumia Ipo pugu kona 0719794789
0 Reactions
1 Replies
589 Views
HABARI KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano kwenye ; APPLICATION MESSAGE STORAGE (Simu imejaa) CALLS NOTIFICATION USIZOZIELEWA NA ZINATOKEA KILA MARA KUTUNZA FILE ZOTE GOOGLE ILI...
0 Reactions
4 Replies
784 Views
SAN LG 125 GIA 5 IPO MWANZA IGOMA HAINA SHIDA YOYOTE MILIONI 1 TU 0713096076
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Wakuu nahitaji website au blog yenye matangazo ya Google Adsense yakiwa hayana shida yeyote, kwa aliyenayo naomba tuwasiliane Njoo WhatsApp http://wa.link/c951p8
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu mtanzania mwenzangu, tumeanza kuzalisha viatu vya ngozi halisi kwa matumizi mbalimbali. kuanzia viatu vya watoto vya shule na matumizi mbalimbali, vya kiume (Safety boot, army boot...
6 Reactions
79 Replies
65K Views
Back
Top Bottom