Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ekali 7 zina parachichi za mwaka mmoja na nusu Lina hati miliki Maji yapo karibu Kijiji cha Mfriga-Lupembe(Njombe vijijini) Nusu kilomita kutoka barabara kubwa ya Vumbi Karibu kwa taarifa...
2 Reactions
8 Replies
822 Views
Habari wakuu. Natafuta nyumba ya kununua iwe na ghorofa moja hapa Arusha na iwe na uwanja wa kutosha angalau nusu eka.
0 Reactions
0 Replies
487 Views
TOYOTA NOAH [emoji91][emoji91][emoji91] SR40 Engine:3s Cc:1990 Year:2002 Color:silver New Tyres Locatio ATTACH=full]2415326[/ATTACH]
0 Reactions
1 Replies
541 Views
Habarini wakuu,ukurasa huu nitaweka bidhaa mbalimbali ninazoziuza sana sana za cake na vyombo vya jikoni. Mawasiliano yangu ni 0746685756 Nita update kila mara vinapoingia. Tunafanya delivery na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ni vitabu vya ujasiriamali, biashara na maendeleo binafsi vilivyoandikwa kwa lugha ya kiswahili. Kila kimoja kina mada za kipekee, havifanani. Unaweza ukanunua kimoja, viwili au hata vyote vitatu...
2 Reactions
34 Replies
12K Views
Wasalaam JFs. Namtafuta mtu anayeuza vitu tajwa hapo juu. Meza iwe na droo moja. Pesa yangu 70,000 jumla. Location yangu: Kinondoni, Dar.
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Ni kama mita 300 kutoka kiwanda cha Twiga cement wazo hill mkono wa kulia ukiwa unaenda Goba au Madale. Kiwanja kina ukubwa wa Square meters 1000+ bei sh 35m. Maongezi yapo. Mimi ni mwenye mali...
4 Reactions
1 Replies
794 Views
Wapi naweza kupata samaki wa mapambo hapa Dar, kama gold fish etc, ukiacha pale forodhani? Maana pale bei imesimama sana.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za asubuhi kwema wana jf kama una ps 4 nikuongezee pesa ngap na ps 3.tufanye biashara
1 Reactions
3 Replies
538 Views
Location ni Iringa mjini miyomboni mkabala na msikiti wa ijumaa Pia Kinondoni studio kituoni kushoto ukitokea magomeni Whatsap/call 0718 239 676 &0713 291 172
0 Reactions
6 Replies
822 Views
Habari wakuu. Kuku wapo Kahama wana miezi 4 na wiki moja. Idadi wapo 150. Bei 12000, maelewano yapo. Simu 0755868463. Karibuni.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni GOBA Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki 1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipo Kibaha kwa Mathias. Ukubwa wa squire meter 600 Milioni 3 Umbali km 5 toka Morogoro road Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja 0672...
0 Reactions
7 Replies
655 Views
Je, Umeshabadilisha Muonekano wa Nyumba Yako [emoji3060] Kama Jibu ni Bado Karibu Wallpanel Decor Tukubadilishie Muonekano wa Nyumba Ofisi Frame n.k [emoji94][emoji16] Tunaweka Wallpanel design🫣...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, title inajieleza, Spec RAM kuanzia 4Gb Hdd kuanzia 500Gb Processor 2.4 Ghz Battery iwe inakaa na charge Hata kama ni Used lakini iwe kwenye condition nzuri..! Hela iko mfuko wa...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Waungwana..naomba kujua bei ya kiwanja cha kawaida cha kujenga nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu eneo la bunju shule karibu na barabarani karibu na kabisa la roma hapo....natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Bestates Properties Contact: 0786157788 Kinauzwa • TSh bilioni 5.5 (mazungumzo yapo) Kina hati • matumizi ya biashara Pia tunapatikana: Facebook @BestatesTanzania Instagram @bestates_tanzania
0 Reactions
456 Replies
60K Views
Wakuu natengeneza na kuunda majiko ya kuchomea nyama kwa kutumia gesi ,majiko yanatumia gesi kidogo kwavile ni low preasure na pia yanachoma kwa haraka sana na pia yanadumu kwa kipindi kirefu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyozungumza. Nina shida ya mtu mwenye vitendea kazi vya kucopy video/mkanda wa sherehe na kuhamishia copy kwenye computer kama soft copy au kuburn kama DVD. Kama upo...
0 Reactions
3 Replies
780 Views
Back
Top Bottom