Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mambo vp wakuu, Nahitaji kreti na Chupa za bia na soda. Nipo Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu ipo gari aina ya Canter inauzwa kwa bei ya M18 ikiwa bado ni nzima kabisa..na haina udalali wowote karibuni My number. 0714 664 520
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau nahitaji ist ya cc1290, ila sitaki dalali, owner anaweza nicheki inbox, preferably namba DM kushuka chini
1 Reactions
14 Replies
896 Views
Habari, Nahitaji chumba Cha kupanga maeneo ya TEGETA,KIBO nk Kiwe kuzuri Kuanzia 30 hadi 40 Kodi maelewano miezi 3
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya infinix hot 12 i imetumika wiki moja tu.Ina document zote risiti na warrant card ya mwaka mmoja toka infinix PROPERTIES 1.RAM 2.00 GB 2.ROM 64GB 3.CAMERA 8M 4.13M TRIPLE CAMERA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zimetumika kwa muda usiozidi mwezi 1 kutoka zimenunuliwa dukani. Zipo kwenye mabox na risiti zake zipo. Cherehani laki 2, over rock laki 1.5. Karibuni (0783 708437)
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Sold
2 Reactions
0 Replies
732 Views
Nauza fridge kubwa ya milango miwili ipo keko dilers,inafanya kazi vizuri.bei yake 260,000. Pia kuna frizer ndogo iko poa pia inafanya kazi vizuri imezungushiwa copper ndani .rangi yake iko poa...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Simu inauzwa Oppo f1s bei 200k Storage GB 64 Ram 4 GB Price 200,000 Call 0764182683
0 Reactions
3 Replies
710 Views
Habari za wakati huu Wana JF. Leo nimerudi tena Ndugu Zanguni, Nauza Milango MITANO (5) ya MNINGA. Ni mipya kabisa, bei ni tsh Laki mbili na elf hamsini (250,000/=) kwa mlango MMOJA. Maongezi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za mchana kwema wana jf, twende kwenye mada.Siku hizi magari yamekuwa adimu sana watu hawataki kutuuzia magari yao ya namba D na sisi tuvimbe nayo mtaani.wakati sasa namba E uko inakimbia...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ya mchana waungwana, gari hii hapa haina shida yoyote ni nzima kabisa. Gari ipo Goba njia ya kwenda Madale. Bei ni 9.5 pekee. Ukitaka kuiona, kukagua na kumaliza ama picha zaidi nicheki...
2 Reactions
1 Replies
655 Views
Toyota landcruiser 2003 Ni Manual inatumia diesel Mileage 169,000 Bei ni Milioni 28 (fixed) Ipo mikocheni dar es salaam Haihitaji dalali Mawasiliano 0782780980
2 Reactions
1 Replies
798 Views
Habari jF, Kwa niaba ya mdau wa hizo kontena, naomba kutoa taarifa kuwa kontena za futi 40 na futi 20 sasa zipo na zinapatikana kwa bei rafiki kama ifuatavyo: 40 feet kwa 8M 20 feet kwa 6M Yard...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cover yake imeharibika na hanges zake za kushikia kioo zimekatika. Yeyote mwenye navyo anijuze na gharama itakuwa sh ngapi!
0 Reactions
0 Replies
395 Views
PTZ wireless camera - Hii ni camera inayojizungusha mahususi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa eneo lako kama biashara au nyumbani. [emoji654]ina uwezo wa kuzunguka na kuona pande zote kwa picha...
3 Reactions
5 Replies
824 Views
Hello bosses Natafuta hii simu ya batani nokia rm 872 model 206 Budget yangu ni ya kawaida
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Habari ndugu zangu! Kijana wenu ninahitaji gari kwa kumvua mtu. Je kwa budget tajwa hapo juu ya 10M ninaweza kupata toyota Premio iliyo kwenye condition nzuri au Runx? Mwenye uzoefu msaada wa...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba...
1 Reactions
2 Replies
981 Views
Je wewe ni mtaalam wa kutengeneza apps/ software? Karibu tuwasiliane. 0687969981 0764255769
0 Reactions
2 Replies
478 Views
Back
Top Bottom