PS 4 fat gb 500
zipo Gem 7.
FIFA 2022
WRC7
Pes2021
Mortal 11 combart
God of wall
Need for speed heat
Gta5
Pad 2 hazina kipengere
Fika anza kucheza kabla hujalipia
Price Tag read: 590,000 net...
Nauz maziwa ya watoto aina ya SMA, APTAMIL na COW and GATE original kutoka UK, bei ni tsh 55,000 kwa kopo la mil 900, Naleta kwa order ambayo inachukua siku 10 unalipi unapopokea mzigo... For...
Wakuu kherii!
Inahitajika gari tajwa hapo juu.
Iwepo dar.
Iwe rangi nyeusi.
Tukikubaliana bei nakuja na fundi kukagua gari fast tunafanya biashara.
Nicheck 0747282028
Kama una ndoto ya kumiliki sedani ya injini kubwa barabarani basi nmekusogezea hapa mashine hii makadilio ya kuichukua kumbuka huyu ni mnyama zaidi ya mnyama maajabu yake yanayosimuliwa kwa crown...
NATOA HUDUMA ZIFUATAZO KATIKA UJENZI :
KUCHORA RAMANI ZA MAJENGO
KUSIMAMIA UJENZI
KUFANYA MAKADIRIO YA UJENZI
HII NI MOJA YA KAZI ZANGU NILIZOFANYA KUANZIA KUCHORA MPAKA KUSIMAMIA UJENZI ( 0758...
Ewe Mzazi Baskeli za watoto zipo sokoni changamkia fursa
Condition: New&Used
Colour: Blue&pink
Training wheels
Bell
Basket
Water bottle
Price: 150,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es salaam...
Habari za wakati huu wapendwa? Natumai mko poa.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Tanzania ya leo wajasiliamali tumekua wengi na tunajihusisha na shughuli za utengenezaji na uuzaji wa bidhaa...
Tunapenda kutangaza bima ya afya na maisha,yaani mkono wa pole kwa wafanyakazi na watumishi wa makampuni mbalimbali.
Kampuni ya Acclavia insurance brokers ikiwa imedhaminiwa na Strategies na...
Karibu sana, kwanza kabisa Utaratibu wa kutumia Mashine za VFD/EFD ulianzishwa kwa lengo la kumrahisishia mfanyabiashara katika utunzaji wa kumbukumbu za mauzo/biashara za kila siku ili kuondoa...
Kampuni ya HARD DISK ni SEAGATE,
Size: 8TB
Price: 250,000
Contacts: kwa muhitaji tuchekiane PM
Location: DAR - M/CITY
HARD DISK lazima utest ujiridhishe na size ya DISK ndipo utoe pesa...
Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla majira ya mwaka 2022 kuisha basi sisi GETRICH BUSINESS CONSULTANTS tunatoa offer ya discount ya hadi asilimia 20 kwa kuandika events proposal zenye ushawishi na...
VIWANJA VIPYA JIJI LA DODOMA.
Viwanja vyote vimepimwa na vina documents zote,pia biashara zote zinafanyika kupitia Wanasheria.
NALA MIZANI.
NALA MIZANI.
Ukubwa ni Sqm 1000.
Bei ni Milioni 7...
MILIKI ARDHI KWA BEI NAFUU KABISA
[emoji95]Njoo ujipatie kiwanja kwa bei nafuu kabisa pia lipia kwa awamu mpaka umalize deni.
[emoji95]Eneo: Vikindu-Vianzi, na Kisemvule (Wilaya ya Mkuranga)...
Wakuu habari za leo,
Nauza mashine ya kuprint T-Shirt (heat press mashine) kwa bei ya shilingi 1,700,000/=. Ni 8 in 1, inaprint T-shirt, vikombe, kofia, sahani, majagi, nk.
Mashine hii inafanya...
wakati unajenga unatamani finishing nzuri itakayo kuvutia kwa ajili ya nyumba yako
bas tupo hapa kama washauri na kukuonuesha urembo tofauti tofauti kukuwezesha nyumba yako ivutie na kuonekana ya...
UTOFAUTI NA UPEKEE WA SOFTWARE PROGRAM ZINAZOPATIKANA KWENYE TOLEO CAMON 19
Phone Cloner
Hii ni software program inayopatikana kwenye toleo hill la camon 19. Phone cloner inampa nafasi na...
Habari zenu wana Jamvi, natumaini muwazima?
Baada ya safari ndefu ya kumalizia ujenzi Alhamdulilah, nimeshahamia kwangu Kisemvule. Sasa nahitajia gari ndogo aina ya Vitz Old Model. Itapendeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.