Mimi ni mtaalamu wa kutengeneza mifumo lain ya Computer (Software Developer), Kwa yeyote anaye hitaji website, blog na mifumo ya ofisi nicheki tufanye kazi. 0621012703
TOYOTA ALLION (DRG) MPYAA SANAA PRICE MIL 12
Make: TOYOTA
Model: ALLION
Engine code 1nz
Engine capacity; 1490 cc
Mileage: Low Mileage
Full ac
Full documents.
Transmission; Automatic
Imported...
What's good? Nauza gaming desk ikiwa brand new in the box imported from UK. Maelezo yake haya hapa. Ingiza hizi codes Google uione meza yenyewe 836-205RD HOMCOM
HOMCOM Gaming Desk Steel Frame w/...
Habari wana jamiiforum.
Tumesajiliwa kama kampuni ya kukodisha magari.
Tunakodisha magari aina zote makubwa kwa madogo kwa ajili ya Taasisi,harusi,msiba, na miradi mikubwa kwa midogo kwa bei...
Habarini wakubwa kwa wadogo, natafuta gari ndogo ata ikiwa namba A iwe ni corolla, carina n.k nitakayoweza kuingia mkataba kwa malipo ya awamu ili iwe naifanyia kazi, kwa mawasiliano zaidi...
Nanunua kuku wengi wa kienyeji-mtetea kwa shilingi 5000/=. Kama una kuku wa kienyeji mtetea kuanzia 50, 100, 200, 1000 n.k nanunua kwa bei hiyo Arusha. Ufugaji unalipa.
Kama title inavyojieleza hapo juu wakuu,mimi ni mtu wa masoko kutoka kampuni ya Riyakh logistics,kampuni yetu inahusika na usambazaji wa mafuta ya petrol pamoja na diesel mahali popote pale ndani...
Kiwanja kinapatikana eneo la mbopo-madale ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es Salaam.
Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa.
Kiwanja kiko eneo zuri...
Make: Toyota
Model: Land Cruiser Prado
Year: 2003
Odometer: 122,801km
Engine: 3RZ-FE (2693cc - 2.7L)
No Accident, No Faults, Well Maintained.
Location: Dar es Salaam, Tanzania.
Contacts...
Wakuu kama kichwa cha habari kivyo hapo, nahitaj shamba/eneo , heka moja au mbili kwaajil ya kufuga, iwe ndani huko nje ya mji
Mwenye kuweka pendekeza vijiji labda niende au mwenye kujua mtu...
Habari gani wanazengo? Nahitaji Plot safi maeneo ya Moshono, Arusha.
Budget yangu TZS 7,000,000/= mpaka 9,000,000/=
Kati ya Sqm 450 na 600sqm
Kisiwe mbali na Lami.
Iwe imepimwa safi kabisa...
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la Ukonga. Kata ya Kitunda
Kutoka Banana unapanda gari za Magole...
Ekali 7 zina parachichi za mwaka mmoja na nusu
Lina hati miliki
Maji yapo karibu
Kijiji cha Mfriga-Lupembe(Njombe vijijini)
Nusu kilomita kutoka barabara kubwa ya Vumbi
Karibu kwa taarifa...
Habarini wakuu,ukurasa huu nitaweka bidhaa mbalimbali ninazoziuza sana sana za cake na vyombo vya jikoni.
Mawasiliano yangu ni
0746685756
Nita update kila mara vinapoingia.
Tunafanya delivery na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.