Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanajamii nawasalimu wote . Napenda kuwatangazia pikipiki za miguu mitatu kwa bei nzuri sana, tupo dar es salaam. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
13K Views
CH=full]2410278[/ATTACH]
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Je una bar/pub/hotel/au ofisi yeyote inayohitaji muziki? na hauna deejay? Au unahitaji collection kwa ajili ya kusikiliza katika gari au gheto. Basi nipo tayari kukutengenezea collection nzuri ya...
2 Reactions
0 Replies
476 Views
Kwa bajeti ya shilingi laki 3 mpaka laki 4 ninaweza kupata laptop aina gani dukani?
2 Reactions
49 Replies
3K Views
Wauzaji vifaa hivi Tuwasiliane. 1: Hot air machine { Blower } 2: Screw driver 3: Tweezer 4: Solderling Paste 5: Soldering Wire 6: Ultrasonic cleaner 7: Capacitor 8: Transistor...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habar wakuu! Nauliza wastani wa bei za vyumba maeneno ya kibondo mjini mkoani kigoma. Asante
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Iwe na hivi vitu -4K -120Hz(fps) -55'/65' -HDMI 2.1 Ata ikiwa USED imrad iwe kwenye condition nzr na box lake Iwe kampuni yoyote ilimradi iwe na hvyo vigezo, karibun
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Fiberglass boat zinauzwa zina urefu wa mita 7 na upana wa mita 1.6 hazina engine na canopy. Zimetengenezwa nchini Indonesia na kuletwa Zanzibar, ni mpya boti mpya. Unaweza ukatumia kwa...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
* Zimewasili chache na bado tumeagiza mzigo mwingine * Mashine zinatumia teknolojia maalum (Xfoliant technology) kuondoa ukungu wa taa na kuifanya taa ya gari yako kurudia upta wake *Ni rahisi...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Wakuu naamini mko poa! [emoji117]Vioo vya magari yetu vimegeuka matanuri pale tunapo park juani? [emoji117]Dashbord na siti vinachoma kama pasi pale unapofungua mlango na kuingia garini kwako...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu, Kwa yeyote anaeuza ama kukodisha account ya Bolt naomba anicheck inbox.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naihitaji nissan march mgongo wa kobe, mkali unenyooka au mazda demio zingatia iwe Mwanza au Shinyanga, sina hela ya kufata mikoa mingine njoo na offer.
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Tunauza korosho nzuri kwa. Bei nzuri kutoka mtwara mahali popote pale Mzigo unakofikia ni kuweka Order yako mapema na kwa wakati , Tupigie kwa No 0712359510,0712359510...BEI ( Price) zetu 25,000...
1 Reactions
2 Replies
731 Views
Nauza kiwanja kipo Mongola ndege ukonga D'salaam Bei ni Milioni 10, mimi mwenyewe muhusika sio dalali kwa mawaliano zaidi piga namba 0718 343299
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza pikipiki Honda Click 150 cc Bei Mil 6,500,000 ipo ktk good condition kwa mawasiliano zaidi piga namba 0718343299
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu kama kuna mtu anauza/anasukuma gari yake aina ya Mazda tribute anicheki inbox haraka. Gari iwe kuanzia namba D, good condition, rangi haiharudiwa wala kuwahi kupata ajali, njoo na offer fasta.
0 Reactions
2 Replies
579 Views
Habari wadau wa ufugaji. Natafuta shamba liwe karibu na barabara za mitaa kiasi nilichonacho ni laki na nusu kwa kila heka. Nahitaji heka kumi. pia lisiwe Na migogoro yeyote.
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Nimebahatika kupata Tsh Milioni 1 nahitaji PS4 mbili ili nifungue kijiwe hapa home. Mwenye nazo anicheki PM basi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
TAYARI IMESHAKUA WEEKEND.....FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU...
0 Reactions
1 Replies
630 Views
Back
Top Bottom