Wa maji chumvi? Nataka wa maji baridi. Siwajui hao lakiniKurasini wapo gapsi
Wa maji chumvi? Nataka wa maji baridi. Siwajui hao lakini
Du! Hakuna some kind of restrictions ya ku import live fish? Nitajaribu. Si ungeagiza tu na fish tank?Nachotaka ni zile glass na mashine zake za ku push maji!
Nataka box la ukubwa mkubwa sana kama 4mX2.5mX3m
Nataka 2pcs
Samaki wa kuweka mle nanunua online wanakuja na ndege..
Ni heri ununue online!
Uswahili wapo wachache halafu bei ni takatifu...
Halafu ni heri uchukue kizazi cha kwenye glass uweke kwenye glass kuliko kizazi cha bahari directly kwenda kwenye glass,kufa ni rahisi zaidi!
Bei na contact info ?Wa baridi ndio
Du! Hakuna some kind of restrictions ya ku import live fish? Nitajaribu. Si ungeagiza tu na fish tank?
nipigie 0658904648Wapi naweza kupata samaki wa mapambo hapa Dar, kama gold fish etc, ukiacha pale forodhani? Maana pale bei imesimama sana.
Ulifanikiwa?Nachotaka ni zile glass na mashine zake za ku push maji!
Nataka box la ukubwa mkubwa sana kama 4mX2.5mX3m
Nataka 2pcs
Samaki wa kuweka mle nanunua online wanakuja na ndege..
Ni heri ununue online!
Uswahili wapo wachache halafu bei ni takatifu...
Halafu ni heri uchukue kizazi cha kwenye glass uweke kwenye glass kuliko kizazi cha bahari directly kwenda kwenye glass,kufa ni rahisi zaidi!
Sijafanikiwa mkuuUlifanikiwa?
PooleeeSijafanikiwa mkuu
Shida ni material ya glass kujenga hilo box maana ni customized....
Nataka la kujengea kwendana na ukubwa wa sehemu yangu....
Mafundi hakuna,mpaka utume vipimo china wakujengee usafirishe mpaka uswahilini,which is another hell of a job