Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni vitabu vya ujasiriamali, biashara na maendeleo binafsi vilivyoandikwa kwa lugha ya kiswahili. Kila kimoja kina mada za kipekee, havifanani. Unaweza ukanunua kimoja, viwili au hata vyote vitatu...
2 Reactions
34 Replies
12K Views
Wasalaam JFs. Namtafuta mtu anayeuza vitu tajwa hapo juu. Meza iwe na droo moja. Pesa yangu 70,000 jumla. Location yangu: Kinondoni, Dar.
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Ni kama mita 300 kutoka kiwanda cha Twiga cement wazo hill mkono wa kulia ukiwa unaenda Goba au Madale. Kiwanja kina ukubwa wa Square meters 1000+ bei sh 35m. Maongezi yapo. Mimi ni mwenye mali...
4 Reactions
1 Replies
793 Views
Wapi naweza kupata samaki wa mapambo hapa Dar, kama gold fish etc, ukiacha pale forodhani? Maana pale bei imesimama sana.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za asubuhi kwema wana jf kama una ps 4 nikuongezee pesa ngap na ps 3.tufanye biashara
1 Reactions
3 Replies
537 Views
Location ni Iringa mjini miyomboni mkabala na msikiti wa ijumaa Pia Kinondoni studio kituoni kushoto ukitokea magomeni Whatsap/call 0718 239 676 &0713 291 172
0 Reactions
6 Replies
820 Views
Habari wakuu. Kuku wapo Kahama wana miezi 4 na wiki moja. Idadi wapo 150. Bei 12000, maelewano yapo. Simu 0755868463. Karibuni.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni GOBA Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki 1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipo Kibaha kwa Mathias. Ukubwa wa squire meter 600 Milioni 3 Umbali km 5 toka Morogoro road Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja 0672...
0 Reactions
7 Replies
652 Views
Je, Umeshabadilisha Muonekano wa Nyumba Yako [emoji3060] Kama Jibu ni Bado Karibu Wallpanel Decor Tukubadilishie Muonekano wa Nyumba Ofisi Frame n.k [emoji94][emoji16] Tunaweka Wallpanel design🫣...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, title inajieleza, Spec RAM kuanzia 4Gb Hdd kuanzia 500Gb Processor 2.4 Ghz Battery iwe inakaa na charge Hata kama ni Used lakini iwe kwenye condition nzuri..! Hela iko mfuko wa...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Waungwana..naomba kujua bei ya kiwanja cha kawaida cha kujenga nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu eneo la bunju shule karibu na barabarani karibu na kabisa la roma hapo....natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Bestates Properties Contact: 0786157788 Kinauzwa • TSh bilioni 5.5 (mazungumzo yapo) Kina hati • matumizi ya biashara Pia tunapatikana: Facebook @BestatesTanzania Instagram @bestates_tanzania
0 Reactions
456 Replies
60K Views
Wakuu natengeneza na kuunda majiko ya kuchomea nyama kwa kutumia gesi ,majiko yanatumia gesi kidogo kwavile ni low preasure na pia yanachoma kwa haraka sana na pia yanadumu kwa kipindi kirefu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyozungumza. Nina shida ya mtu mwenye vitendea kazi vya kucopy video/mkanda wa sherehe na kuhamishia copy kwenye computer kama soft copy au kuburn kama DVD. Kama upo...
0 Reactions
3 Replies
780 Views
PS 4 fat gb 500 zipo Gem 7. FIFA 2022 WRC7 Pes2021 Mortal 11 combart God of wall Need for speed heat Gta5 Pad 2 hazina kipengere Fika anza kucheza kabla hujalipia Price Tag read: 590,000 net...
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Nauz maziwa ya watoto aina ya SMA, APTAMIL na COW and GATE original kutoka UK, bei ni tsh 55,000 kwa kopo la mil 900, Naleta kwa order ambayo inachukua siku 10 unalipi unapopokea mzigo... For...
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari wakuu, Natafuta laptop Used aina ya Lenovo corei 7
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom