Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu. Liko bunju b piga 0767 72 73 88
0 Reactions
2 Replies
737 Views
Somo kuhusu kuchagua njia za kutengeneza fedha kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo ni somo muhimu sana kwa yeyote anayewekeza kwenye uwekezaji huu. Rafiki yangu ukianza vibaya kuwekeza kwenye...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Gari iko tabata.. picha za ndani sina Ac ya kujaza. Haina tatizo lolote Piston 4 cc 990 Mil 3.3 0713096076
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnibariki na IST au RAUM iwe namba D isiwe na kipengele chochote Nina budget ya Milioni saba (7m) Cash. Tafadhari ndugu zangu madalali mnisamehe sana nahitaji gari kutoka kwa...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Nahitaji kufanya biashara ya kuuza nazi lakini bado sijafaham wapi naweza pata kununua mzoefu wa biashara hii anisaidie kabla sijala mtaji jamani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IMESHUKA BEI TOYOTA VITZ Full A/C Cc 990 4 piston No mechanical problems imebadilishwa rangi Bei: mil 4.5 Simu- 0713096076 ipo kawe, Dar es salaam. Serious customers dont comment. Pls call asap
2 Reactions
3 Replies
1K Views
-Used vitz plate number B -Haina ac -Ipo ubungo Riverside -Bei milioni 3. -Contact 0712518770 mimi ndio mmiliki.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS. Miti iliyopo ni :- 1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji) 2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS. Miti iliyopo ni :- 1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji) 2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habar wakuu. Uwanja una upana mita 20urefu mita 25 Umeme Maji balabal vipo Bei Milion 8 Maongez yapo Uwanja hauna hati 0623935516 Karibun🙏🙏
1 Reactions
5 Replies
668 Views
Wadau habari za leo ! Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao: 1. Dagaa nyama, 2. Dagaa wakavu/Lukumbu, 3. Lumbunga , na 4. Ng`onda pia wapo. -Mauzo ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza hii server cabinet ikiwa na top mounted cooling system pamoja na Sisco switch and Firewall kwa Bei ya punguzo...Niletee laki tatu na nusu uchukue.... 350,000 Location mabibo external...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nauza mlango wa Kioo (Aluminium) mahususi kwa kupachikwa kwenye fremu ya biasharaSize: Futi 7 kwa futi 7. Umetumika kwenye frame ya bucha kwa muda mfupi wa miezi 3 tu, bei ni TZS. 150,000 Tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyosema eneo linauzwa vigwaza barabara ya kwala linakaribia heka 1 bei mil 4 maelewano yapo pia nicheki kwa namba 0718003504
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Swift namba c Full ac Full documents kila kitu Bei/price-4.5 M
0 Reactions
0 Replies
368 Views
@matangazo_digital Ni watengenezaji wa Matangazo mbali ya video na sauti yanayo ielezea biashara yako kwa dakika moja tu. Tangaza kidijitali wafikie wateja wako mahali popote tanzania NB...
0 Reactions
2 Replies
794 Views
Natafuta gari ya kukodi kwa mizunguko ya hapo Dar kwa wiki moja wakati wa likizo. Napendelea mfumo manual. PM na kiasi chako cha gharama kwa siku.
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Nashindwa kujua ni kampuni ipi naweza kupata jagi konki (original), naomba msaada wa mawazo tafadhali. Liwe automatic (maji yakichemka ufikia centigrade mia linajikata lenyewe), ila lisiwe...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom