Edwardo Ommy Member Feb 6, 2020 36 52 Nov 10, 2022 #1 Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana ndugu mteja. Mawasiliano 0718982463. Attachments FB_IMG_16680815901284534.jpg 52.9 KB · Views: 18
Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana ndugu mteja. Mawasiliano 0718982463.
Edwardo Ommy Member Feb 6, 2020 36 52 Nov 11, 2022 Thread starter #3 Mshana Jr said: Siti zake original ziko wapi Click to expand... Tunaweza kuwasiliana chief...
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,638 697,938 Nov 11, 2022 #4 Edwardo Ommy said: Tunaweza kuwasiliana chief... Click to expand... Hakuna shida