Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna wateja mlikuwa mnataka Sana hizi diffuser za kwenye gari, zimepatikana CHACHE, please kama unahitaji wahi. TSh 60,000 unapata na essential oil 1 👉🏾Posta Samora DSM Tunafanya delivery Mikoani...
1 Reactions
1 Replies
942 Views
Powdered neo examination gloves pack of 100 @ tsh 9500 per box Contact us 0767 317 319
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Natibu kisukari ( mpaka utakapo kuwa normal kwa hiyo muda inategemaea na mwili wako). Natibu pressure. Ila pressure kwa week 3 za awali unaanza kujisikia kawaida. Unaweza kupata dawa popote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni daktari wa binadamu,na kwa mda mrefu niliokaa OPD nimegundua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni kubwa kuliko jamii inavyolichukulia.tatizo hili limegawanyika sehemu tatu..(1)hofu ya...
2 Reactions
33 Replies
12K Views
Panasonic tough book ,Mashine ya kazi mjapan original , Ram -4gb Rom- -500gb CPU -2.5ghz Battery [emoji367]- 7+ hours Nina shida ya hela Bei : 250000 Contact: 0710660264
0 Reactions
3 Replies
376 Views
Tumekuja na ofa mpya za [FULL EGG AUTOMATIC INCUBATORS]mashine za kutotoleshea vifaranga zinazotumia solar, umeme na betri. Ofa zetu: Mayai 16 bei 150,000/=Tsh Mayai 24 bei 175,000/=Tsh Mayai 56...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Nauza Hp desktop computer full ikiwa na keyboard, mouse na cables zote kwa bei rahisi ya Tshs.355000 Specs Processor Core i5 vpro OS; Windows 10 Ram; 8Gb HDD; 500GB Ipo Tegeta Kibaoni Call...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habarini! Tunazikaribisha taasisi za makanisa kutumia mfumo wa kidigitali wa ChurchMIS kusimamia taarifa za kila siku za kanisa kama vile Kuhifadhi taarifa za waumini Kuhifadhi na kufuatilia...
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Good morning Africa, Bado tunaendelea kutoa elimu na tuna wakaribisha wote. Nitakuwepo, mlete dada wako wa kazi tuzungumze naye na tuelimishane wote ili tuje kupata matokeo mazuri katika malezi...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Mapato mpaka mwezi wa sita Latra mpaka mwezi wa tisa Bima mpaka mwezi wa tisa Namba MC ...... CFT Ipo inafanya kazi mombasa kwenda moshi bar ukonga dar Bei shilingi 3,700,000 O754 636060...
1 Reactions
4 Replies
548 Views
Nauza TV aina ya Hisense LED Flameless kwa bei ya Tshs 270,000 TV hii imetumika miezi 4 tu ba bado ina boksi lake. Nicheki kwenye namba 0764368588 tufanye biashara Napatikana Mbezi jirani...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Sitaki wale vinyonya damu wanakupa beu ya pipi kisa una shida . Kibamba dar es salaam OFA YA MITUNGI YA GAS USIKOSE EMPTY ORYX KUBWA 37,000 EMPTY MIHAN NDOGO 15000 EMPTY ORYX NDOGO 17000...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
MOCO Services ni Wabobezi wa kurekebisha vifaa vya mawasiliano SIMU na Kompyuta. Tupo Mkoani Mbeya, Mwanjelwa, Barabara ya Juakali. Tumejikita katika ufundi wa "hardware pamoja na software"...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Full package kwa Elf 70 tu TV panasonic nchi 19, Dek Sing Sung na Frash GB8 Og vinauzwa bei ya kutupa. Vipo Mbeya Iyunga 0623935516 maongezi yapo kidogo! KARIBUN WAKUU.
0 Reactions
16 Replies
895 Views
Very Clean Condition, Everything works perfectly [emoji736] 4K /60fps 5-Direction Obstacle Sensing ActiveTrack can recognize and automatically follow people and objects like cars and boats...
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Habar wana jamvi, Nimefungua ki studio cha kurusha Movies, hivyo nilikua nahitaji kununua Desktop mpya ila sina uzoefu nazo Nahitaji mwenye kufahamu anipe ABC zake yaani niangalie nini na nini...
2 Reactions
2 Replies
394 Views
Nauza Camera Canon 60D bei 650000 laki sita Na Nusu. Namanisha body bila lens. Napatikana kupitia 0782373183. Nipo ubungo River
0 Reactions
3 Replies
623 Views
Tv: inch 55 Aina: Star X 4k Bei:850k Mahali:Dar es salaam nb;haina tatizo lolote
0 Reactions
8 Replies
927 Views
Wakuu mimi naomba connection ya chumba master kiwe Kijitonyama, Magomeni au Kinondoni.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Karibu ujipatie internet mifi za airtel kwa shillingi elfu 50 tuu. inaunganisha zaidi ya watu 10 kwa umbali wa mita 100, na vifurushi vyake ni vizuri na speed ya uhakika karibuni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom