Ohhh mkuu kitambo kidogo lakini nishawai ona hiki kitabu kwenye library ya mshua.. Labda nikipata muda nikakuchekie kama bado kipo... Binafsi sikukielewa na ile ari ya kufika hatima.. Walaa sikuwa nayo... Nikaachana nacho.
Hiko kitabu kina movie yake inaitwa SIMU YA KIFO. Mie naomba anayefahamu mtiririko wa vitabu vya Willy Gamba kuanzia cha kwanza mpaka cha mwisho anitajie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.