Natafuta nyumba ya kupanga Tabora Mjini au apartment

lukatony

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
667
522
Msaada jamani,

Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka.

Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom