Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, Nimepokea ujumbe kuhusiana na kupotea kwa mtoto ANNA MUNYASA huko Uingereza. Nimefanya search kwenye net kuangalia kama kuna habari zozote zilizoandikwa na kama kuna detailed...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Jamani ninashindwa kuingia kwenye hii forum VIP only Nifanyaje? Mwana
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ukubwa wa kiwanja - Nusu eka au ekari moja na zaidi. - Kiwanja kiwe na hati au katarasi zote muhimu za umiliki. Mahali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wadau napenda kuwatangazia kwamba ninauza projector aina ya Sony. ina siku 20 tangu niinunue toka dubai , bei yake ni shilingi 1,300,000 ( milioni moja na laki tatu. Mimi kwa sasa nipo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana Jamii, ninanahitji Toyota land cruiser pick up. used please. Iwe ya hapa hapa Bongo au nje sawa tu. Mwenye taarifa aiweke hapa halafu tutaangalia jinsi ya kuwasiliana. Asanteni wakuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I'm a Tanzanian man looking for a sponsor on my project which shall commence soon after being sponsored. The project will start with thorough research on how to increase the number of science...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina kijana wangu anahitaji sana kupata chuo kinachotoa mafunzo ya kutengeneza simu Dar hasa mafunzo ya soft ware katika simu kama kuna yeyote anayefahamu tafadhal naomba anijulishe hata kwa Pm au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1999model manual transmission grey 5 doors in very good condition Terms and conditions for sale is negotiable. Intersted buyers should contact this number 0717114409
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Reported Attack Site! This web site at www.mwananchi.co.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences. Attack sites try...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nahitaji Gari Toyota spacio lenye specifications kama hizi Rangi; Silver Mwaka 2000 au zaidi Liwe halijasajiliwa hapa nchini kwani nataka kutumia exemption Lenye cc ndogo litakuwa na advantage...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nyumba ipo kwenye kona karibu na soko la kariakoo! ni sehemu iliyochangamka sana kwa biashara. nyumba za karibu yake kodi kwa kila fremu ni kati ya 300,000 mpaka 700,000 kutegemea na ukubwa wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
toyota IST ya mwaka 2002. CC 1300!!! odo 97,000 rangi ya silver options Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Tinted Glass / A/C:front / Power Steering / Remote...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
ROGER KIKWABI Kwa mtu anayemfahamu Bwana Roger Kikwabi naomba Ampe Taarifa kwamba Alisahau Cheti chake cha TPSC LC NO : 020… eneo la kijitonyama tuwasiliane kwa email oldmoshi@gmail.com ili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta mtu ambaye yuko tayari kushirikiana naye kwenye consultancy firm yangu ambayo natarajia kuianzisha soon nikisharudi nyumbani. Vigezo awe amefanya economics au sociology na ni mtatifi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe hili ,nijue taratibu kabla sijaagiza?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hi, Natafuta walimu wa masomo ya Computer. Topic zenyewe ninazohitaji pata ufahamu zaidi ni LAMP (Kwa ajili ya web based Database) yaani: Linux Apache MySQL PHP Kama kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama? Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
The 2nd Tanzania Automotive Festival 2009 builds on the success of the inaugural event last year. This year's show promises to be a comprehensive show that includes exhibits in the passenger cars...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani naomba kujua kama kuna mtu anaejua kuwa namba inayoanza na code +177 ni ya nchi gani? maana kuna namba huwa inanibeep mara kwa mara, na nikiipiga inaiambia no connection. Kwa anayejua...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Nimeleta kama tangazo ,lakini ni kero ambayo,mimi mtanzania mzalendo ninayo-mbona kuna wahamiahaji haramu wengi sana hapa Tanzania,tofauti na majirani zetu k.m Kenya,DRC nk.Wapo tu na wanafanya...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom