Wakuu,
Nimepokea ujumbe kuhusiana na kupotea kwa mtoto ANNA MUNYASA huko Uingereza. Nimefanya search kwenye net kuangalia kama kuna habari zozote zilizoandikwa na kama kuna detailed...
Ndugu wadau napenda kuwatangazia kwamba ninauza projector aina ya Sony. ina siku 20 tangu niinunue toka dubai , bei yake ni shilingi 1,300,000 ( milioni moja na laki tatu.
Mimi kwa sasa nipo...
Wana Jamii,
ninanahitji Toyota land cruiser pick up.
used please.
Iwe ya hapa hapa Bongo au nje sawa tu.
Mwenye taarifa aiweke hapa halafu tutaangalia jinsi ya kuwasiliana.
Asanteni wakuu.
I'm a Tanzanian man looking for a sponsor on my project which shall commence soon after being sponsored.
The project will start with thorough research on how to increase the number of science...
Nina kijana wangu anahitaji sana kupata chuo kinachotoa mafunzo ya kutengeneza simu Dar hasa mafunzo ya soft ware katika simu kama kuna yeyote anayefahamu tafadhal naomba anijulishe hata kwa Pm au...
1999model manual transmission grey 5 doors in very good condition
Terms and conditions for sale is negotiable.
Intersted buyers should contact this number 0717114409
Reported Attack Site!
This web site at www.mwananchi.co.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences.
Attack sites try...
Nahitaji Gari Toyota spacio lenye specifications kama hizi
Rangi; Silver
Mwaka 2000 au zaidi
Liwe halijasajiliwa hapa nchini kwani nataka kutumia exemption
Lenye cc ndogo litakuwa na advantage...
nyumba ipo kwenye kona karibu na soko la kariakoo! ni sehemu iliyochangamka sana kwa biashara. nyumba za karibu yake kodi kwa kila fremu ni kati ya 300,000 mpaka 700,000 kutegemea na ukubwa wa...
toyota IST ya mwaka 2002.
CC 1300!!!
odo 97,000
rangi ya silver
options
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Tinted Glass / A/C:front / Power Steering / Remote...
ROGER KIKWABI
Kwa mtu anayemfahamu Bwana Roger Kikwabi naomba Ampe Taarifa kwamba Alisahau Cheti chake cha TPSC LC NO : 020 eneo la kijitonyama tuwasiliane kwa email oldmoshi@gmail.com ili...
Natafuta mtu ambaye yuko tayari kushirikiana naye kwenye consultancy firm yangu ambayo natarajia kuianzisha soon nikisharudi nyumbani. Vigezo awe amefanya economics au sociology na ni mtatifi...
Hi,
Natafuta walimu wa masomo ya Computer. Topic zenyewe ninazohitaji pata ufahamu zaidi ni LAMP (Kwa ajili ya web based Database)
yaani:
Linux
Apache
MySQL
PHP
Kama kuna...
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama?
Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu
Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com...
The 2nd Tanzania Automotive Festival 2009 builds on the success of the inaugural event last year. This year's show promises to be a comprehensive show that includes exhibits in the passenger cars...
Jamani naomba kujua kama kuna mtu anaejua kuwa namba inayoanza na code +177 ni ya nchi gani? maana kuna namba huwa inanibeep mara kwa mara, na nikiipiga inaiambia no connection. Kwa anayejua...
Nimeleta kama tangazo ,lakini ni kero ambayo,mimi mtanzania mzalendo ninayo-mbona kuna wahamiahaji haramu wengi sana hapa Tanzania,tofauti na majirani zetu k.m Kenya,DRC nk.Wapo tu na wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.