Kuna mdau yoyote anayejua wapi hapa Dar naweza kununua ndevu za kubandika,
Hii kitu India ni common sana, inauzwa sana. Sasa kwa hapa Bongo sijui naweza kupata
wapi?
mbona kimya jemeni? ni kweli hakuna anayejua nitapata wapi????
wasiliana na jamaa wa vingunguti machinjioni wanaweza kukusaidiaKuna mdau yoyote anayejua wapi hapa Dar naweza kununua ndevu za kubandika,
Hii kitu India ni common sana, inauzwa sana. Sasa kwa hapa Bongo sijui naweza kupata
wapi?