Muasisi wa CCM mkoa wa Tabora na aliyekuwa mume wa Mbunge wa viti maalumu/kuteuliwa wa muda mrefu Bi Mosi Tambwe amefariki Dunia leo saa sita mchana mjini Tabora. Mzee Tambwe mbali na kuwauasisi...
Tanzanians in Birmingham Alabama (JUTABI), together with the families of Mangenya and Lubala would like to announce a sudden death of their beloved ANDREW KITENGE MANGENYA.
Andrew passed...
Naomba kujua office za hawa watu kwa hapa tanzania ziko wapi.
Nimejaribu kutembelea kwenye website yao inaonyesha kuna office zao tanzania,mwenye kujua ziko sehemu gani anijulishe tafadhali.
Jamani wana bodi huu ni mwezi wa pili nimekuwa nikijaribu kuwasiliana na wizara husika lakini bila mafanikio. Labda nina namba za simu , fax na email address za zamani, lakini katika website yao...
Muasisi wa CCM mkoa wa Tabora na aliyekuwa mume wa Mbunge wa viti maalumu/kuteuliwa wa muda mrefu Bi Mosi Tambwe amefariki Dunia leo saa sita mchana mjini Tabora. Mzee Tambwe mbali na kuwauasisi...
Hivi humu JF kuna lawyers wanaoshughulika na mambo ya criminal?...kama wapo/yupo please naona uni -M nataka kuuliza swali la kuhusiana na mambo ya criminal kabla sijaharibu...pleaseee!
very...
Wakulu wote JF, na wananchi wenzangu wote mnaoishi US na hata nje, na hasa New York City na vitongoji vyake,
- Nina furaha kuwafahamisha kwamba kwa niaba ya Balozi wetu wa kudumu katika Umoja wa...
Monday, August 10, 2009 4:50 AM
Mtoto mmoja wa nchini Paraguay ambaye alizaliwa kabla ya muda wake alitangazwa kuwa amefariki, mwili wa mtoto huyo ulikabidhiwa kwa baba yake masaa manne baadae...
Suman Khatun Saturday, August 15, 2009 11:06 AM
Mtoto mmoja wa kike wa miaka mitano wa nchini India humaliza kilo 10 za mchele, kilo tano za viazi na lita sita za maziwa kila wiki asipopewa...
NAFASI YA MASOMOKIDATO CHA KWANZA 2010
Tumeanza kuandikisha wanafunzi wanaotarajia kuingia kidato cha kwanza kwa mwaka 2010. Walengwa ni wahitimu wa darasa la saba.
Interview...
Wadau wa JF,
Kuna Toyota Pickup (Short Chasis) Hilux inauzwa.
Ipo katika hali nzuri kama unavyoiona katika picha.
Hii gari ina engine ya 12R, na ilikua inatumika kama gari ya kutembelea, so...
Je,
Bidhaa yako imekataliwa supermarket kisa haina GS1 Barcode?
Unahitaji kufanya Asset Management kwa kutumia Barcodes au RFID tags?
Una bidhaa ya chakula na haina nembo ya ubora ya TBS na...
Habari wakuu,
Kuna wa kuja mmoja amelazimika kuuza gari yake baada ya kujikuta anashindwa kurudisha marejesho ya mkopo wake bank.
Ni Mark II GR (Ni auto 4 cylinder) Gari ipo katika hali nzuri...
Kwa niaba ya familia ya Bw SAMWEL MBEZI tunashukuru kwa wote waliokuwa nasi katika kutufariji .. katika msiba wa mzee wetu marehemu MR samwel mbezi.....wakati tukisubiri mtoto wa marehemu...
Ni kampuni inayomolikiwa na Mtanzania huko Guanghou China na Inajishighulisha na kuwapokea Watanzania wanaotembelea China. Kwa wafanya biashara utapelekwa hadi kiwandani uchague mwenyewe bidhaa za...
Namshukuru Mungu, Muumba mbigu na nchi kwa wema na fadhili zake na
kwa neema na rehema zake nyingi zisizo ukomo.
Wana JF, ni miezi miwili imepita tangu nionekane ndani ya Jukwaa letu na Bunge...
Nyumba inapangishwa ipo tegeta kibaoni, ina vyumba vitatu vya kulala, master bed room, dinner, store,kwa kweli ni nyumba nzuri ipo ndani ya geti, na kuna choo cha nje, packing na sehemu ya...
Habari za Leo Wakuu,
Nina tegemea kushusha mzigo wa video surveillance systems (complete with cameras + DVR) kuanzia tarehe 20
Kuna aina tatu za systems:
Zenye uwezo wa kuunganisha camera 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.