Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi...
Familia ya Bwana SAMWEL MBEZI inasikitika kifo cha BABA yao mpendwa MR SAMWELI MBEZI kilichotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake...KIPUNGUN ....maziko yanasubiri watoto wa marehemu walio...
As Received...!
Urgent Warning to All MTN, VODACOM, TIGO AND ZAIN Users.
If you receive a phone call on your mobile from any person, saying that, s/he is a company Engineer or saying that...
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko kigamboni (kati ya km 17 - 18 baada ya kuvuka). Ni nje ya eneo lililotengwa kwa ajili ya uendelezaje wa mji wa kigamboni.
Ni eneo zuri kwa...
Hello wanaJF!
Mi ni kijana ambaye nipo nje ya nchi kimasomo na muda sio mrefu nitarejea nchini kuanza maisha rasmi. Sasa nilikuwa nafiiria sana swala la kujiajiri either kwa kuanzisha biashara...
Wote Mnakaribishwa kwenye BBQ ya Nguvu itakayofanyika Montrose Harbor Beach Ndani ya Chicago siku ya Tarehe 8/8/2009. Hafla Hiyo Itafuatiwa na Dance Party ambapo DJ Dennis na DJ Nasser watawarusha...
Heshima zenu wakuu,
Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni...
As received...
Inna lillah wa inna 'ilayhi rRaji'un
Hakika sisi ni wa M'Mungu Na Kwake Ndio Marejeo.
FAMILIA YA BWANA MUSSA OMAR BALOLA NA WANAFUNZI WOTE WA NORTHBURY PRIMARY SCHOOL...
Dear All,
kama nilivyowaletea siku ambayo mwenyezi mungu aliamua kukichukua kiumbe chake mpenda watu CAPT GEORGE MAZULA ambae mpaka anafariki alikuwa CHIEF PILOT WA kampuni ya ndege ya...
Naomba msaada wenu na ushauri, brother wangu anatafuta contact na details za hizi car rental companies. Je mtu binafsi anaweza peleka gari yake huko, je rates zao zikoje na ni kampuni gani...
Odometer at present: 88,436 km
Odometer when imported into Tanzania: 53,840 km
Imported from: Dubai, UAE
Date of reg: 01/08/2006
Year of Manufacture: 1997
Colour: White
Price: TSh. 12 mil...
Natafuta Nyumba au Plot ya kununua maeneo ya Upanga, Mikocheni au Regent Estate, mwenye taarifa au mwenye kujua ilipo tafadhali naomba tuwasiliane
kindiki@gmail.com
Kuna jamaa yangu yuko Ifakara anatafuta laptop mpya. Ana kiasi cha shilingi laki tano na nusu (550,000/=). Naomba tumwelekeze kama anaweza pata kwa bei hii na ni aina gani anaweza kupata...
Wana JF,tunaomba msaada kama kuna mtu ana experience na care homes(kwa ajili ya wazee) tunahitaji ushauri,mwanzoni kwa bure lakini baadae huenda tukamlipa. Tafadhali ni PM au andika kwa...
Usiku wa mwanzo wa siku ya leo (29 july) saa 7 usiku (01:00 am) moto mkubwa ulizuka ndani ya kiwanda cha bia (TBL) na kuteketeza masanduku matupu ya bia (yaani shells with bottles) yote yaliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.