Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Familia ya Bwana SAMWEL MBEZI inasikitika kifo cha BABA yao mpendwa MR SAMWELI MBEZI kilichotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake...KIPUNGUN ....maziko yanasubiri watoto wa marehemu walio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
As Received...! Urgent Warning to All MTN, VODACOM, TIGO AND ZAIN Users. If you receive a phone call on your mobile from any person, saying that, s/he is a company Engineer or saying that...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye mp3 ya hii track anisaidie link ya ku download. "Sumu ya Penzi" by Belle9 pia
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko kigamboni (kati ya km 17 - 18 baada ya kuvuka). Ni nje ya eneo lililotengwa kwa ajili ya uendelezaje wa mji wa kigamboni. Ni eneo zuri kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello wanaJF! Mi ni kijana ambaye nipo nje ya nchi kimasomo na muda sio mrefu nitarejea nchini kuanza maisha rasmi. Sasa nilikuwa nafiiria sana swala la kujiajiri either kwa kuanzisha biashara...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wote Mnakaribishwa kwenye BBQ ya Nguvu itakayofanyika Montrose Harbor Beach Ndani ya Chicago siku ya Tarehe 8/8/2009. Hafla Hiyo Itafuatiwa na Dance Party ambapo DJ Dennis na DJ Nasser watawarusha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu, Naomba kuuliza kama kuna member yeyote anayejua tailor mzuri wa suit hapa Dar es salaam, Nina Suit zangu nimetumiwa na jamaa wangu lakini zina kasoro kidogo ya vipimo, ni...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
As received... Inna lillah wa inna 'ilayhi rRaji'un Hakika sisi ni wa M'Mungu Na Kwake Ndio Marejeo. FAMILIA YA BWANA MUSSA OMAR BALOLA NA WANAFUNZI WOTE WA NORTHBURY PRIMARY SCHOOL...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WADAU, YEYOTE MWENYE CONTACT ZA ERICK SHIGONGO (particularly email adress) naomba anisaidie!! Nina shida sana na huyo mtu. thanks in advance
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Nauza laptop used dell d610,d620 na hp kwa bei ya laki6-unaweza kuwasiliana nami kupitia abcally@gmail.com
0 Reactions
15 Replies
5K Views
GARI INAUZWA Imetumika Bongo Mwaka Mmoja AINA: TOYOTA CARINA MAWASILIANO: machajms@gmail.com ASANTENI WADAU
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dear All, kama nilivyowaletea siku ambayo mwenyezi mungu aliamua kukichukua kiumbe chake mpenda watu CAPT GEORGE MAZULA ambae mpaka anafariki alikuwa CHIEF PILOT WA kampuni ya ndege ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu na ushauri, brother wangu anatafuta contact na details za hizi car rental companies. Je mtu binafsi anaweza peleka gari yake huko, je rates zao zikoje na ni kampuni gani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Odometer at present: 88,436 km Odometer when imported into Tanzania: 53,840 km Imported from: Dubai, UAE Date of reg: 01/08/2006 Year of Manufacture: 1997 Colour: White Price: TSh. 12 mil...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Natafuta Nyumba au Plot ya kununua maeneo ya Upanga, Mikocheni au Regent Estate, mwenye taarifa au mwenye kujua ilipo tafadhali naomba tuwasiliane kindiki@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu yuko Ifakara anatafuta laptop mpya. Ana kiasi cha shilingi laki tano na nusu (550,000/=). Naomba tumwelekeze kama anaweza pata kwa bei hii na ni aina gani anaweza kupata...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Make: Toyota Model: Corona Model Number: AE100 Body Type: Saloon(closed top) Colour: Grey Class: Light...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF,tunaomba msaada kama kuna mtu ana experience na care homes(kwa ajili ya wazee) tunahitaji ushauri,mwanzoni kwa bure lakini baadae huenda tukamlipa. Tafadhali ni PM au andika kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Usiku wa mwanzo wa siku ya leo (29 july) saa 7 usiku (01:00 am) moto mkubwa ulizuka ndani ya kiwanda cha bia (TBL) na kuteketeza masanduku matupu ya bia (yaani shells with bottles) yote yaliyokuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom