Kama una shughuli yoyote usisite kuwasiliana na Bilali Mashauzi.Ni mtanashati na mchangamfu sana, Bilal ni kiongozi wa vijana wote na yuko juu.Pasipo na Bilal jua ya kuwa shughuli yako haijakamilika!!
View attachment 12382
mambo preta?....mbona hujavaa sidiria katika hiyo avatar yako
hili si ndio lile chapati tulilokuwa tunalijadili jana? halaf mleta sredi anaitwa boflo heheheheheh acha nisepe , kuna kila dalili ya tsunami kwenye hii sredi.........preta haujambo wewe?
hehehe nipo fiti kuliko kingi mswati!sijambo kipenzi mzima wewe....nimekukosa
hehehe nipo fiti kuliko kingi mswati!
hehehe hapa hakuna shuhuli, hapa kuna boflo inampigia debe chapati.wacha bana....basi ndio kama vile kama una shughuli boflo ndio keshatuletea mshughulika
hehehe hapa hakuna shuhuli, hapa kuna boflo inampigia debe chapati.
Katika hiyo pic what happent with the guy eyes,bolfo wewe ndio balal au?
Huyo balali ni chakula?
Kama una shughuli yoyote usisite kuwasiliana na Bilali Mashauzi.Ni mtanashati na mchangamfu sana, Bilal ni kiongozi wa vijana wote na yuko juu.Pasipo na Bilal jua ya kuwa shughuli yako haijakamilika!!
View attachment 12382
Kama una shughuli yoyote usisite kuwasiliana na Bilali Mashauzi.Ni mtanashati na mchangamfu sana, Bilal ni kiongozi wa vijana wote na yuko juu.Pasipo na Bilal jua ya kuwa shughuli yako haijakamilika!!
View attachment 12382