Nauza kiwanja na matofali bei chee 2,800,000/=

Qulfayaqul

JF-Expert Member
Apr 10, 2008
480
84
Jamani wana jf nimetingwa nauza kiwanja na matofali kama 580, kiwanja kina ukubwa wa 25mx20m na ninauza kwa 2,800,000/=, location: kiwanja kipo kivule kitunda ukifika Banana unashuka then unapanda magali ya kivule yanapita kitunda mpaka huko, kipo karibu na shule mbili za sekondari. Matofali nauza kwa Tshs 650 kila tofali.
Mawasilano simu namba 0713-357542
 
Jamani wana jf nimetingwa nauza kiwanja na matofali kama 580, kiwanja kina ukubwa wa 25mx20m na ninauza kwa 2,800,000/=, location: kiwanja kipo kivule kitunda ukifika Banana unashuka then unapanda magali ya kivule yanapita kitunda mpaka huko, kipo karibu na shule mbili za sekondari. Matofali nauza kwa Tshs 650 kila tofali.
Mawasilano simu namba 0713-357542 begin_of_the_skype_highlighting**************0713-357542******end_of_the_skype_highlighting

Hellow,
barabara inaingia mpaka kwenye kiwanja?,
kimepimwa?
 
Vp Kiwanja peke yake unaweza ukauza?

Ni kiji plot ambacho hakijapimwa thats why ni kiwanja peke yake, umiliki wake ni ule wa kuandikishiana kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa na nina documents zote za umiliki.
 
Hellow,
barabara inaingia mpaka kwenye kiwanja?,
kimepimwa?
Hakijapimwa kaka ila nina haki zote za kukimiliki kutoka serikali za mitaa na kipo kama mita 500 kutoka barabarani yaani katika kituo cha daladala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom