Angalia mkuu usijeshangaa spcfctn ziko safi sana but ni bonded humo ndani kuna toshiba, fujistu siemens, dell, sonny, na mengine sasa tafuta recovering software km utaipata hata kwa kudownload!
Umenipa namba ya tela,trekita,gari??au ya combine hervester machine??
Wapigie zantel. Kuna laptops za mikopo unalipia ndani ya miezi 13
kwa mwezi unalipia sh ngapi?inatumia modem yoyote au ndo itakuwa mimi na zantel milele