wadau wa jf kuna nyumba nzuri ya vyumba 3, choo, bafu, jiko, store, dinning room, sitting room na eneo kubwa tu la uwanja inauzwa. Umeme na maji vipo.
Ipo kimara mwisho - ghorofani nyuma ya...
Mimi natafuta nyumba maeneo ya Kijitonyama, Sinza, Mwenge, Msasani, Kinondoni, Iwe ya vyumba viwili vya kulala, siting room, bafu, choo na Jiko fesi na mahali pa kulaza gari. Gharama isizidi sh...
Nyumba ya kupanga inahitajika sehemu za Kimara, Ubungo, Survey, Mbezi beach n.k
Kodi isiwe zaidi ya TZS 200,000.00 kwa mwezi
Namna ya malipo : Miezi sita
Maelekezo ya nyumba: kuwe at least...
Shamba linauzwa Liko Kigamboni Km 27 toka kigamboni ferry nje ya mradi,unapita njia ya Dar es salaam zoo ziko zaidi ya heka kumi kila heka Tsh milion moja halijapimwa.Kwa wahitaji piga 0784876210
Natafuta Kiwanja Cha Kujenga nyumba ya makazi Dodoma na kiwe kimepimwa.
Sina uchaguzi na eneo iwe; Makole, Chadulu, Kisasa nk. nk. Sichagui.
Mwenyenacho ani PM!
WE OFFER TRANSLATION SERVICES AT REASONABLE RATES. WE TRANSLATE MANUALS, LETTERS, LESSONS, HANDOUTS, BOOKS, STORIES FROM WRITERS, SCRIPTS AND SUBTITLES. ALSO SECRETARIAL SERVICES, INCLUDING...
Jamani, waungwana, nahitaji mtu anipe crash course ya Adobe Dreamweaver CS3, for Windows. Nina foundation knowledge ya mambo ya web development, ila sikuweza kutumia hii application.
Kwa sasa...
1. Iwe na vyumba viwili.
2. Pawe na maji na sio mbali na barabara.
3. Kati ya maeneo yafuatayo 1. Mbezi luis 2. sinza 3. Kimara 4. Tabata.
4. Vyumba viwe ndani ya fensi.
Attention Property Owners and Landlords for quick selling and renting of your properties please register with us !!!
You can send property details at this email: kitomai.1stchoice@gmail.com or...
Ikiwa wewe ni mwajiriwa serikalini na unafanya kazi katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha au Manyara,unaweza kupata msaada wa mkopo mdogo usiozidi shilingi laki moja wakati wowote upatapo dharura...
Ipo Kijitonyama kwa Alimaua. Inauzwa sh 45,000,000/= .
Down payment ya 30,000,000/- inapokelewa.
Ina vyumba kumi. Imepangishwa.
Kila chumba kinalipiwa kodi shs 30,000/= kwa mwezi...
Ndugu wana JF
Nauza Gari hili kwa bei nzuri sana!!
Aina ya gari ; TOYOTA TOWNACE NOAH
Idadi ya Milango: 4
Idadi ya Abilia: 8
Drive type 4wheel drive
Mwaka...
Hello wadau,
Natafuta laptop, budget yangu ni TZS 500,000 max ikipatikana chini ya hapo itakuwa vizuri pia. Preffered specs 120gb, 15" flat screen, 2.8 ram. Mwenye mzigo tuwasiliane 0785 997688.
we offer reliable and speedy clearing and forwarding services, please contact us on +255716506093 for your sea freight, airfreight, exports and consolidation shipments. We also do packing and...
Ni vyumba viwili na sebule katikati pia kuna uwanja wa kutosha kujenga nyumba ya vyumba vinne ipo chanika msumbiji karibu na secondary ya kimwani. bei ni maelewano piga namba...
Ipo MBEZI MAKABE. Ipo katika eneo lililopimwa. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja self contained, sebure, dinning, jiko, imezungushiwa uzio imara, ina tiles katika vyumba vyote. Bei 65mil...
Jamani kama kuna mtu ana details ya connections kwenda Seychelles please anisaidie, nina maana nikitaka kwenda naunganishia wapi ndege, nitashukuru kama kuna anaejua na nauli yake tafadhali! Mungu...