Habari wana JF members
Ninauza Soseji kutoka Peramiho, Songea Mkoani Ruvuma ni soseji nzuri kwa familia. Watoto huzipenda sana hizi, ukizihitaji tafadhali wasiliana nami kwa simu 0715 497259 au 0784 497259 utaletewa.
Bei ni shilingi 13,000/=
Nakukushukuru sana ingredients zake ni Nyama ya ng'ombe, chumvi,viungo ambayo ni amdalasini,pilipili manga na hiriki ni hivyo tu MKAA MWEUPEMkuu,
Ahsante kwa taarifa. Ila kwa faida ya wengi ningependa utuwekee ingredients zake pamoja na ujazo/uzito wa hicho kifurushi cha TZS 13,000.00.
Nawasilisha.
nakukushukuru sana ingredients zake ni nyama ya ng'ombe, chumvi,viungo ambayo ni amdalasini,pilipili manga na hiriki ni hivyo tu mkaa mweupe
Habari wana JF members
Ninauza Soseji kutoka Peramiho, Songea Mkoani Ruvuma ni soseji nzuri kwa familia. Watoto huzipenda sana hizi, ukizihitaji tafadhali wasiliana nami kwa simu 0715 497259 au 0784 497259 utaletewa.
Bei ni shilingi 13,000/=
weka picha tuzione zilivyo
Ukweli hawa jamaa wanatengeza soseji zenye kiwango cha hali ya juu sana, pamoja na kuwa kiwanda chao kinasuasua hivyo someteimes supply si ya uhakika! Niliwahi kuwatembelea hapo kiwandani, ni wakarimu sana; nilivyouliza "swali la ingredients" wakaniambia zile basics kama alizotaja mdau hapo juu, lakn wakasema the exact formula na makorokoro mengine wanayochanganya is a trade secret! Wanatengeneza soseji za beef na pork, bila kusahau smoked (my favorite).....wana bidhaa nzuri: though wanalack vifungashio na marketing!
Unajua wakati naaga waliniambiaje: "chukua kiasi chochote kwa kila product uwapelekee watoto nyumbani!"
kaka leta na dagaa nyasa wale samaki watamu hakuna tena mbasa na mbelele na urusti soseji ya kitifire aka soseji za kitimoto ikiuzwa pale angoni arms!!!
Kachoki,
Packaging yake ipo kama zile za Arusha? Au kilo moja unamaanisha nini?
Asante Amoeba kunifanyia maelezo zaidi kuhusu hizi soseji sasa nikuletee ngapi? fanya oda yako pia asante kutambua kuwa siye ( siyo wote) tuliotoka PERAMIHO NI WAKARIMU!!!!!!!!!!!!!! wengine karibu sana PERAMIHO
Ukweli hawa jamaa wanatengeza soseji zenye kiwango cha hali ya juu sana, pamoja na kuwa kiwanda chao kinasuasua hivyo someteimes supply si ya uhakika! Niliwahi kuwatembelea hapo kiwandani, ni wakarimu sana; nilivyouliza "swali la ingredients" wakaniambia zile basics kama alizotaja mdau hapo juu, lakn wakasema the exact formula na makorokoro mengine wanayochanganya is a trade secret! Wanatengeneza soseji za beef na pork, bila kusahau smoked (my favorite).....wana bidhaa nzuri: though wanalack vifungashio na marketing!
Unajua wakati naaga waliniambiaje: "chukua kiasi chochote kwa kila product uwapelekee watoto nyumbani!"
Ukweli hawa jamaa wanatengeza soseji zenye kiwango cha hali ya juu sana, pamoja na kuwa kiwanda chao kinasuasua hivyo someteimes supply si ya uhakika! Niliwahi kuwatembelea hapo kiwandani, ni wakarimu sana; nilivyouliza "swali la ingredients" wakaniambia zile basics kama alizotaja mdau hapo juu, lakn wakasema the exact formula na makorokoro mengine wanayochanganya is a trade secret! Wanatengeneza soseji za beef na pork, bila kusahau smoked (my favorite).....wana bidhaa nzuri: though wanalack vifungashio na marketing!
Unajua wakati naaga waliniambiaje: "chukua kiasi chochote kwa kila product uwapelekee watoto nyumbani!"