ccr airtel
Member
- Mar 27, 2011
- 96
- 14
kama yupo muuzaji ani PM please tuongee biashara fasta fasta
mimi naweza kukuletea yangu mpyaa mwishoni mwa july. niambie unakiasi gani?
Ila issue mkuu ni utengenezaji japo ni tatizo la nadra kwa Mac brands. Macbook pro yangu iliharibika baada ya mtoto kuimwagia juice iliishia kufunguliwa na kutoa hadi disk, na kuharibu keypads na hao jamaa wa Elite computers kwenye office yao ya Upanga. Wakasema nikitaka watengeneze nitoe 1.6m! Ninawajua watu walioko US kama dada Subi mwenye website ya Wavuti.com. Yeye waweza mpa pesa (kupitia account yake ya nbc)baada ya kuchagua uliyoina kwenye kwenye net. Hataongeza hata senti, zaidi ya gharama ya Fedex. Akishanunua ndani ya siku tatu hadi nne itakuwa mikononi mwako. Umefanya chaguo zuri kutafuta Macbook.
Ni bora kuagiza kuliko kununua kwa hawa jamaaNenda Elite Computers iko pale JM Mall au Shoppers Plaza ghorofa ya kwanza.
Mkuu haujasema unahitaji MAC BOOK ya aina gani au yoyote ile mradi tu iwe MAC BOOKkama yupo muuzaji ani PM please tuongee biashara fasta fasta