Radio production course

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Salam wana JF,
Kwa wale wote wanaotaka kusoma Uandishi wa Habari, Utangazaji na Radio Production naomba uni PM ukieleza haya:-
1. Unaishi wapi??
2. Upo tayari kusoma kuanzia lini??

Nitakupa gharama zetu zote na utaratibu mzima. Tunataka kujua idadi ya wanafunzi wote! Asante.
 
Asalamu Alaykum mimi nataka hayo mafunzo lakini naona hakuna details zinazoeleza suala hilo naomba kufahamu kwa sababu nahitaji kujua yatachukua muda gani kwa sasa kuanzia mwezi wa agosti sitaweza kujiunga ikiwa kabla au baada basi nipo tayari ila mimi nipo zanzibar, hata hivyo natanguliza shukurani kwa dhati kabisa
 
Salam wana JF,
Kwa wale wote wanaotaka kusoma Uandishi wa Habari, Utangazaji na Radio Production naomba uni PM ukieleza haya:-
1. Unaishi wapi?
2. Upo tayari kusoma kuanzia lini?
Nitakupa gharama zetu zote na utaratibu mzima. Tunataka kujua idadi ya wanafunzi wote! Asante.
Ndugu yangu Radio Producer, juzi juzi ulikuja humu kwa utambulisho wa kitafuta kazi baada ya kuhitimu kozi ya Radio Producer.
Tukakuelejeza sehemu za kuomba kazi lakini kutokana na elimu yako ya vyuo vya uchochoroni, hukujisumbua hata kutafuta hiyo kazi japo upate experiance.
Sasa leo ndio yamekuwa haya!? yaani ghafla umekuwa mwalimu?! au na wewe baada ya kihitimu uchochoroni sasa nawe umefungua uchochoro wako kutaka kuwalia watu pesa zao?!.

Kama wewe ni mkweli na sio tapeli naomba ueleze tuu hayo mafunzo mtayaendeshea wapi ili nijitolee kuwafanyia due diligence wana jf kabla hawajaingizwa mkenge.
 
Ndugu yangu Radio Producer, juzi juzi ulikuja humu kwa utambulisho wa kitafuta kazi baada ya kuhitimu kozi ya Radio Producer.
Tukakuelejeza sehemu za kuomba kazi lakini kutokana na elimu yako ya vyuo vya uchochoroni, hukujisumbua hata kutafuta hiyo kazi japo upate experiance.
Sasa leo ndio yamekuwa haya!? yaani ghafla umekuwa mwalimu?! au na wewe baada ya kihitimu uchochoroni sasa nawe umefungua uchochoro wako kutaka kuwalia watu pesa zao?!.

Kama wewe ni mkweli na sio tapeli naomba ueleze tuu hayo mafunzo mtayaendeshea wapi ili nijitolee kuwafanyia due diligence wana jf kabla hawajaingizwa mkenge.

Kwa haraka haraka ndugu yangu kama uliona post yangu ya kwanza kuna ndugu mmoja alinicomment akasema niko over qualified so alinishauri nifanye kazi kwa contract na mimi nikaanza kulifanyia kazi! Isistoshe mimi sijasoma uchochoroni kwa taarifa yako, na niko certified as International Trainer from International Communication Training Institute ya Uk nilikopata masomo yangu ya training! Kwasasa nitakuwa nashirikiana na vyuo vilivyoanzishwa tayari ili kufundisha masomo hayo! Kuna plan proposed na Day star college ndio maana nimeomba wanaoweza soma hii kozi waweke wazi tuwalink na watapata mafunzo quality! Ukitaka kuona proposal iko jukwaa la lugha imeandikwa NIASAIDIE KUICHAMBUA HII PROPOSAL kasome then uback! Hakuna ubabaishaji hapa! then nilishafanya sana ajira za kazi hii nimefikia wakati wa kuanza mchakato wa kuwa na media house yangu!
 
Asalamu Alaykum mimi nataka hayo mafunzo lakini naona hakuna details zinazoeleza suala hilo naomba kufahamu kwa sababu nahitaji kujua yatachukua muda gani kwa sasa kuanzia mwezi wa agosti sitaweza kujiunga ikiwa kabla au baada basi nipo tayari ila mimi nipo zanzibar, hata hivyo natanguliza shukurani kwa dhati kabisa

Ok, tayari nimeKUPM cheki data
 
Back
Top Bottom