Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,122
- 350
Ipo eneo la Samaki. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, jiko. kodi shs 600,000 kwa mwezi. ruksa kulipa kodi ya miezi sita. Kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
Mkuu, ukali huu hautakufukizia wateja kweli?Kwanini mtu alipe kodi ya miezi sita?
Hili swali ungekua katika nafasi nzuri ya kulipatia majibu mazuri kama ungekua na wewe ni mpangishaji. Una nyumba ya kupangisha wewe? Kama hauna utakuja kupata majibu mazuri utakapokua na nyumba ya kupanga.
Nitakupatia jibu lingine la kudhani. Nadhani ''demand'' is higher than ''supply''.
Si unajua tena, the higher the demand the lower the supply the higher the price.
Mimi ningependa mtu awe analipa kodi mwisho wa mwezi baada kupata mshahara
Hii kitu siielewi kwa tabia ya kiafrica
Sasa ukipata miezi sita iweje?
Tafuta mkopo ofisini kwako au Benk au kwa ndugu na jamaa au kama vipi panga hotelini wao wanachukua kodi ya siku moja. Hacha kulalamika sana tafuta njia mbadara hii ndiyo Africa zaidi ya uijuavyo.
Mkuu, ukali huu hautakufukizia wateja kweli?
<br />Hapana sitawafukuzia. Mimi ni mtu ambaye nipo wazi sana na nadhani hayo ndio maumbile yangu ya asili. <br />
Naomba yeyote ambaye amekwazika kutokana na maoni yangu anisamehe.
<br />
Bongo bwana mtu ana poor customer service badala ya kujirekebisha analeta visingizio ndio maumbile yake. Km maumbile yapo hivyo na unajitambue kwanini usifanye kazi nyingine? Kazi ni combination ya skills.
Lakini mkuu kwa udadisi; hiyo law ni ya demand au ni law ya nini ulioweka pake kuzungumzia pricing za property? Halafu hata ingekuwa law ya demand; mbona wewe vitu vyako vyote huwa vipo overpriced? Au ni law ya comission. Am sure yr r nt doing good to yrself through overprice. Why nt trying selling many goods and increase turnover. Hata hao unaowafanyia hiyo biashara mali inakaa sokoni muda mrefu kisa overpricing mwisho wa siku unakosa wateja na wao wanaathirika. Kwahiyo, in one hand unapoteza wateja na pia hao wanaokupa vitu. Tunaweza kukushauri kwenye biashara inakuwaje kuliko unavyofanya kwa kuhitaji commission kubwa.
Mkuu, ukali huu hautakufukizia wateja kweli?
Amekuwa mkali for nothing. Tatizo sio mwenye nyumba kwani hata mimi ningekuwa na nyumba ya kupangisha uenda ningependa nilipwe hata kodi ya miaka miwili ili hizo pesa zinisaidie kufanya shughuli nyingine ya maendeleo. Hapa tatizo ni serikali amabayo haijaweka sheria ya kuwalinda wapangaji. Ukienda nchi zenye serikali zenye akili, hicho kitu cha kudai kodi ya zaidi ya mwezi mmoja hakipo. Ni kinyume cha sheria. Kodi inalipwa kila mwezi basi!!! Nchi nyingi za ulaya ndivyo ilivyo. Zaidi utatakiwa kulipa deposit ya mwezi mmoja au miwili kwa ajili ya guarantee ya vyombo na furniture.
Umefika wakati serikali ifikirie kuwalinda raia wake wanyonge kwani tabia hii ya kudai kodi kwa miezi kadhaa inasababisha watu wawe wadokozi na kuomba rushwa!!!!!
Ila nimefurahi kwamba angalau mwenye nyumba anataka kulipwa kwa Tshs. na sio USD kama wengi wanavyofanya. Kwa hilo nampongeza.
Niko interested kupanga hiyo nyumba, je kodi inaweza kushuka kidogo?
Tiba
Mkuu upo sahihi,Ukweli apa Tanzania maswala ya estate bado tupo nyuma,uwezi kulinganisha na Kenya au South Afrika,UK or USA.Hapana sitawafukuzia. Mimi ni mtu ambaye nipo wazi sana na nadhani hayo ndio maumbile yangu ya asili.
Naomba yeyote ambaye amekwazika kutokana na maoni yangu anisamehe.
Sasa unalalamika nini? Watu wanakusaidia kubehave proffesionally wewe unaleta maneno mengi? Ishu si ku-encourage kama unavyotuaminisha, tunakushauri how you can improve business. Kuna watu wanaexposure, skills na wafanyabiashara kwahiyo sikiliza unachoambiwa. Sentensi ya mwisho ilitosha saana bila maelezo mengi. Na wengine hapa ni wateja wako.Binafsi si-encourage taking offense easily, lecturing on mistake of others, chronic fault- finding, nagging or blaming others for things that goes wrong. Nilichokua najaribu kuelezea hapo ni ''Housing supply and demand in Tanzania briefly''. kila ninapotoa tangazo napokea maoni kutoka kwa wadau mbali mbali. Maoni yanatofautiana kulingana na makundi mbali mbali, kutoka kwa ''young singles'', ''adult singles'', ''semiactive retirees'', ''active retirees'', ''double-income porfessionals, no children'', double-income professionals, one to three children'', ''single-parent households, one to three children''.
Ninayafanyia kazi maoni yenu. Asanteni sana.