Sijui bei bana wewe kama unakiwanja sema sh ngapi kama naweza tufanye biashara kama siwezi utajua then , budget yangu sio issue inapanda na kushuka kutokana naubora wa kitu bana !
tabata kisukulu kipo cha mil 12 ni nusu ekari. piga 0784 419030. Hata hivyo kama ulivyoshauriwa vizuri kusema bajeti yako kwani baada ya kupata eneo bei ni makubaliano kati yako na mwenye kiwanja kutokana na wewe unavyoona eneo husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.