Nahitaji Betri ya Laptop

Nahitaji Betri ya Laptop

Kitabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
313
Reaction score
29
Wakuu nahitaji Betri ya Laptop aina ya DELL D610.Tafadhali mwenye kujua inapopatikana tafadhali naomba msaada
 
Ni pm kesho saa 3, betri zipo bei 150,000Tsh zipo aina zote bila kusahau adapter
 
Mkuu kama upo Dar nenda KVD,ipo hapa mtaa wa Samora,ukifika hapo sanamu ya askari nenda na njia ya mtaa wa makunganya!moja kwa moja,kwa mbele kuna petrol statation ya BP,opposite yake ndio ipo hiyo KVD!WANAUZA 150,000 mimi nilinunua hapo ya kwangi ni DELL D620 hivi majuzi kwa bei hiyo.
 
Mkuu kama upo Dar nenda KVD,ipo hapa mtaa wa Samora,ukifika hapo sanamu ya askari nenda na njia ya mtaa wa makunganya!moja kwa moja,kwa mbele kuna petrol statation ya BP,opposite yake ndio ipo hiyo KVD!WANAUZA 150,000 mimi nilinunua hapo ya kwangi ni DELL D620 hivi majuzi kwa bei hiyo.
Nashukuru Mkuu,nitalifanyia kazi
 
Ukikosa hapo Tanzania wasiliana na mimi kwa P.M naweza kukusaidia mimi sipo Bongo nipo Ughaibuni
Mkuu,inaonekana bei za hapa kwetu ndo hizo za 150,000/-,je huko majuu vipi????hadi kunifikia mie???Tafadhali nijuze!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom