Iphone application

Iphone application

Echolima

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2007
Posts
3,824
Reaction score
2,079
Nina Iphone Model M/A712LL yenye version 3.1.3(7E18) nimekuwa nikijaribu kuongeza APPL lakini bila mafanikio nina cydia pamoja na Instalous lakini nikizitumia kupata appl zingine zinanipeleka App store kulipia na ninatakiwa ku log in wakati sina account huko.
Kwa ajili ya matatizo hayo naomba kusaidiwa nitapataje kuongeza vitu vingine kwenye Iphone bila kulipia online??????
 
Nina Iphone Model M/A712LL yenye version 3.1.3(7E18) nimekuwa nikijaribu kuongeza APPL lakini bila mafanikio nina cydia pamoja na Instalous lakini nikizitumia kupata appl zingine zinanipeleka App store kulipia na ninatakiwa ku log in wakati sina account huko.
Kwa ajili ya matatizo hayo naomba kusaidiwa nitapataje kuongeza vitu vingine kwenye Iphone bila kulipia online??????
Ushaurivfungua acc ya itunes mbn kuna free apps nyingi tu?
 
Ninaomba mwongozo tafadhali ili niweze kuufungua acc
 
Nina Iphone Model M/A712LL yenye version 3.1.3(7E18) nimekuwa nikijaribu kuongeza APPL lakini bila mafanikio nina cydia pamoja na Instalous lakini nikizitumia kupata appl zingine zinanipeleka App store kulipia na ninatakiwa ku log in wakati sina account huko.
Kwa ajili ya matatizo hayo naomba kusaidiwa nitapataje kuongeza vitu vingine kwenye Iphone bila kulipia online??????
duuh kaka unakazi kidogo but dont worry u can solve it kwanza i suggest u update to 4.3.3 sasa hapo is the tricky part coz saivi version ipo 4.3.5 so kwenye itunes ukitaka kuupdate itakwambia update to 4.3.5 lakini u can not jailbreak it....so kwanza download the ipsw for ur phone ver4.3.3 the locate a file in c:windows/system32/drivers/hosts ifungue and on the afu copy and paste
74.208.105.171 gs.apple.com rudi kwenye itunes put the phone DFU mode shikilia shift n click restore locate the 4.3.3 subiri iupdate jailbreak...nenda cydia install installous...
download ifunbox...sasa u can get cracked ipa files from APPTRCKR zipo kibao au hata appcake these sites waweza download on the pc au iphone na unaenza ziinstall kutumia ifunbox on the pc au installous brooo.....!!!!
 
free apps on itunes ni demo versions wanakuonjesha tuu ukitaka the full version lazma ulipia and i think u dont want that thats why we jailbreak
 
Thanks let me try and i will let you know
 
free apps on itunes ni demo versions wanakuonjesha tuu ukitaka the full version lazma ulipia and i think u dont want that thats why we jailbreak
Mkubwa iphone yangu ni free from factory so haiko locked so situmii cydia huwa natumia itunes kudownload free apps na nina 150 free apps ziko poa kabisa
 
Mkubwa iphone yangu ni free from factory so haiko locked so situmii cydia huwa natumia itunes kudownload free apps na nina 150 free apps ziko poa kabisa
mkuu asilimia 28 ya applications zote 500,000+ kwenye App Store ni bure lakini sio nzuri kama zile za paid apps, kwa upande wa games applications nyingi za bure sio za 3D hivyo kuEnjoy maGame ya maana lazima either uyanunue au ujailbreak simu. mfano games nzuri muhimu kama Fifa 11, Ace Combat, Brothers in Arms, PES, Avatar, Crash Bandicoot Nitro Kart 3D, Fast Five ili kuenjoy kuyatumia lazima ununue au ujailbreak..vile vile vitabu muhimu vinauzwa hivyo kurely kwenye free apps pekeyake unaidhulumu nafsi'...:disapointed::disapointed:
 
duuh kaka unakazi kidogo but dont worry u can solve it kwanza i suggest u update to 4.3.3 sasa hapo is the tricky part coz saivi version ipo 4.3.5 so kwenye itunes ukitaka kuupdate itakwambia update to 4.3.5 lakini u can not jailbreak it....so kwanza download the ipsw for ur phone ver4.3.3 the locate a file in c:windows/system32/drivers/hosts ifungue and on the afu copy and paste
74.208.105.171 gs.apple.com rudi kwenye itunes put the phone DFU mode shikilia shift n click restore locate the 4.3.3 subiri iupdate jailbreak...nenda cydia install installous...
download ifunbox...sasa u can get cracked ipa files from APPTRCKR zipo kibao au hata appcake these sites waweza download on the pc au iphone na unaenza ziinstall kutumia ifunbox on the pc au installous brooo.....!!!!
Nimejaribu njia hiyo tatizo langu ni Elimu ndogo ya computer naomba namba yako ya simu kesho nikupigie unipe msaada kwa njia ya simu.
 
Back
Top Bottom