semina ya utambuzi bure

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
"Mpenzi na Mdau wa FAJI Unakaribishwa kwenye Semina za Utambuzi zinazoendelea. Mada ya Wiki hii inasema " "NAMNA YA KUPATA CHOCHOTE UNACHOHITAJI MAISHANI. Siku-j^mosi na j^pili tarehe 30 NA 31 _2011 SAA 9_11 jioni. Mahali-OFISI ZA TIBA MBADALA KWA DR.JOHN SIMBILA KTK UKUMBI WA ZAHANATI YA ICS TABATA KIMANGA. SIMU 0713250701, 0712458656 na 0713292240. Nyote mnakaribishwa. Karibisha na Mwenzako TAFADHALI ZINGATIA MUDA. HAKUNA KIINGILIO.
 
semina inahusu utambuzi,yaani ni semina inayomsaidia mtu kukua kiutambuzi,sio kimwili,bali kimawazo na kumuwezesha kila mtu kuingia ndani yake ili aweze kuyafanya maisha yake kuwa mepesi na kuepukana na dhana mbovu ya kuwa "mimi siwezi" karibuni sana jamani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom