Nyumba inauzwa bei nzuri.

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,060
281
Ipo kimara stop over. Self contained ya vyumba vitatu, jiko, sebure na dinning, ni nyumba ya zama hizi.Imejengwa juu ya uwanja wa eka moja. Bei tshs 55mil. Kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409

 

Attachments

  • IMG_0124.JPG
    IMG_0124.JPG
    69.2 KB · Views: 84
  • IMG_0120.JPG
    IMG_0120.JPG
    52.2 KB · Views: 77
  • IMG_0122.JPG
    IMG_0122.JPG
    48.2 KB · Views: 72
Hii nyumba ina matatizo gani? zaidi ya miezi sita sasa naona inatangazwa, but mnunuzi hajapatikana!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom