Namtafuta Yusuf Kapanda

Namtafuta Yusuf Kapanda

Ikumbilo

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2010
Posts
455
Reaction score
65
Ndugu wa JF, nachukua fursa hii kumtafuta ndugu yangu tuliepoteza naye wakati nikiwa Mzinga Morogoro mwanzoni mwa miaka ya 2001.

Kama unataarifa zake basi naomba mnisaidie. Natanguliza shukrani.

Asante.
 
Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391
 
Asante kwa kunisaidia,maana nilishituka kidogo kuona ni Makamba tena. Duh,uchakachuaji hadi kwenye majina?
 
Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391
<br />
<br />

075505391 huu ni mtandao gani? Mbona unaleta utani kwenye vitu serious??????
 
Back
Top Bottom