Ikumbilo JF-Expert Member Joined May 14, 2010 Posts 455 Reaction score 65 Jul 2, 2011 #1 Ndugu wa JF, nachukua fursa hii kumtafuta ndugu yangu tuliepoteza naye wakati nikiwa Mzinga Morogoro mwanzoni mwa miaka ya 2001. Kama unataarifa zake basi naomba mnisaidie. Natanguliza shukrani. Asante.
Ndugu wa JF, nachukua fursa hii kumtafuta ndugu yangu tuliepoteza naye wakati nikiwa Mzinga Morogoro mwanzoni mwa miaka ya 2001. Kama unataarifa zake basi naomba mnisaidie. Natanguliza shukrani. Asante.
kipipili JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 1,587 Reaction score 188 Jul 2, 2011 #2 Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391
Kinyungu Platinum Member Joined Apr 6, 2008 Posts 22,318 Reaction score 44,865 Jul 2, 2011 #3 kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... Anayetafutwa ni Yusuf Kapanda na siyo Yusuf Makamba mkuu.
kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... Anayetafutwa ni Yusuf Kapanda na siyo Yusuf Makamba mkuu.
Ikumbilo JF-Expert Member Joined May 14, 2010 Posts 455 Reaction score 65 Jul 5, 2011 Thread starter #4 Asante kwa kunisaidia,maana nilishituka kidogo kuona ni Makamba tena. Duh,uchakachuaji hadi kwenye majina?
Asante kwa kunisaidia,maana nilishituka kidogo kuona ni Makamba tena. Duh,uchakachuaji hadi kwenye majina?
Lukansola JF-Expert Member Joined Sep 5, 2010 Posts 5,435 Reaction score 1,611 Jul 28, 2011 #5 kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... <br /> <br /> 075505391 huu ni mtandao gani? Mbona unaleta utani kwenye vitu serious??????
kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... <br /> <br /> 075505391 huu ni mtandao gani? Mbona unaleta utani kwenye vitu serious??????