wabajamii naiuza modem ina bundle ya 1gyga na salio la laki moja na buku tano nataka 70000 tu mwenye kuitaka just email me with your mobile number speed 3.1 mb/second sasatel inakimbiza mbaya...
Habari wana jamii forums ninatafuta generator used below 10KVA kwa matumizi ya nyumbani , lisiwe na matumizi makubwa ya mafuta na liwe rahisi kufanya service haya ya china nimenunua mara 2...
Duka, whole sale linauzwa (as a going conern). Pango kwa mwezi ni lakini mbili na limelipwa hadi April 2012, liko sehemu nzuri sana.
Sababu ya kuuza: kukosekana usimamizi wa uhakika, pls call...
Wana wa Mungu,
Bwana Yesu Asifiwe, Jina lake lihidimiwe.
AGENT ANATAKIWA HARAKA KUFANYA KAZI HII
NATAFUTA MSICHANA WA KAZI KUTOKA MKOA WOWOTE, ASIWE AMEFANYA KAZI SEHEMU ZA MUJINI, UMRI USISIDI...
Salaam Zenu. Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa iko Boko .Kodi ni 550,000 kwa mwaka mapatano yapo.Imezungushwa ukuta ,ina parking ya 4 cars.Ina seating Room, Servants Shed, Vyoo 3. Jiko kubwa la...
THE BUSINESS PRESENTATION &NETWORKING EVENT.
Life is tough and that's why everyone needs to learn some Business and enterprising skills apart from employment.
For only TSHS 2000/=You will be able...
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa manispaa ya Arusha maeneo ya Sombetini karibu na yard ya pili ya Simba Trucking Company na pia karibu na Milano garage. Eneo hili lipo karibu kabisa na...
Habari wakuu,
Naomba msaada wenu, wapi hapa Dar naweza kupata inverter ambayo angalau itaniwezesha kuwasha na kucharge laptop tu ili nikabiliane na mgao wa umeme, na pia nauliza kuwa battery ya...
IPO CHANGOMBE, KARIBU NA MADUKA MAWILI NA KONA YA BARABARA YA KUELEKEA UKUMBI WA SIGARA<BR>INATAZAMA BARABARA YA CHANGOMBE.<BR>INAFAA KWA BIASHARA MBALI MBALI KAMA DUKA LA KAWAIDA, DUKA LA DAWA...
Nauza monitor ya computer aina ya dell kwa anayehitaji npm.
Ipo sinza kwa remi dsm.
Haina shida yoyote ni imetumika kidogo tu.
Bei ni shilingi tshs 90,000/=
Wadau kuna jamaa anatakaa kuniuzia hii saa lakini nimejaribu kutafuta bei zake kwenye Amazon, e bay na kwenye tovuti ya Louis Arden sijapata bei zake ni kitu nimekipenda lakini sijapata kujua bei...