Poleni na majukumu wapendwa wana JF wote.
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba uniPM.
Natanguliza shukurani na Mungu awabariki.
jruru80.
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba uniPM.
- Pawe na maji na umeme.
- Self contained.
- Isiwe nyumba yenye wapangaji wengi.
Natanguliza shukurani na Mungu awabariki.
jruru80.